Wa namna hii wapo wengi hapa Nchini, tatizo hili ni sawa na rushwa tunavyoangaika nayo. Nimepata kusoma makala moja akilezea jinsi alivyosoma kwa shida bila shaka huyo Philipo Mulugo halisi ndiye anapaswa kuelezea ukweli juu ya jambo hili ,wapo waliosoma nae ama nyaraka kama zipo hapo shuleni. Hili mbona jepesi tu, haiwezekani hiyo shule walisoma wawili tu.
Maadam wanaomfahamu vizuri wapo kimya na ni kweli anatumia jina la mtu basi hii itakuwa hatari kuliko Nuclear.