Ph.D holders kuongozwa na form 6 failure - Shame on you!

Ph.D holders kuongozwa na form 6 failure - Shame on you!

Status
Not open for further replies.

HAMY-D

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2011
Posts
7,146
Reaction score
3,830
WanaJF,

Binafsi uwa nafanya judgment kwa mtu kwa kuzingatia kiwango chake cha elimu. Siku zote.

Tangu zamani nilimdharau Mbowe kwa kuwa ni kijana aliyepata sifuri kwenye mitihani ya kidato cha 6 ilhali alikuwa na dhana zote za kuweza kumfanya afaulu vizuri!

Katika hali kama hiyo, baada tu ya kupewa uenyekiti CHADEMA, niliamini kwa 100% chama kitaelekezwa kuzimu. Na leo yametimia.

Ila kikubwa kilicho nipelekea kuandika huu uzi, ni baada ya kuona Prof Lipumba na wasomi wengineo kukubali kuongozwa na mtu kama Mbowe. Kweli!!!?

Lakini ukitazama sababu hasa ya mtu msomi kama Prof Lipumba, pamoja na mambo mengine, utagundua kuwa amekubali kudhalilika kisa maslahi binafsi. Hilo liko wazi.

Prof Lipumba please honour your doctorate. You can not bow to someone like Mbowe. He's too low for u.
 
Wamevurugwa, maprofesa hawana jipya wameloa
 
Ina maana hujui Huyo lipumba pia amekubali kuwa chini ya Kikwete? Hujui nchi hii ina wasomi kuliko Marais waliopita wote?
Hivi Hujui prf.Tibaijuka yuko chini watu aliowazidi Elimu?
Kumbuka Uongozi si kisomo.
 
Njaa mkuu, pamoja uprofesa wako kama huna hela ni bure tu, lazima ufikirie kwa kutumia tumbo...cc prof baregu na prof safari na prof. Kulikoyela kahigi na dr slaa
 
WanaJF,

Binafsi uwa nafanya judgment kwa mtu kwa kuzingatia kiwango chake cha elimu. Siku zote.

Tangu zamani nilimdharau Mbowe kwa kuwa ni kijana aliyepata sifuri kwenye mitihani ya kidato cha 6 ilhali alikuwa na dhana zote za kuweza kumfanya afaulu vizuri!

Katika hali kama hiyo, baada tu ya kupewa uenyekiti CHADEMA, niliamini kwa 100% chama kitaelekezwa kuzimu. Na leo yametimia.

Ila kikubwa kilicho nipelekea kuandika huu uzi, ni baada ya kuona Prof Lipumba na wasomi wengineo kukubali kuongozwa na mtu kama Mbowe. Kweli!!!?

Lakini ukitazama sababu hasa ya mtu msomi kama Prof Lipumba, pamoja na mambo mengine, utagundua kuwa amekubali kudhalilika kisa maslahi binafsi. Hilo liko wazi.

Prof Lipumba please honour your doctorate. You can not bow to someone like Mbowe. He's too low for u.
We kweli akili zako kama k.e.n.g.e maji sasa hao walio na PhD na maprofesa wamelisaidia nini taifa hili tangu uhuru hadi leo nchi ni maskini ktk kila nyanja za kibanadam. Unataka kutuambia nn ww umetumwa na kukurupuka nani kakwambia elimu wanazopata waafrika zinasaidia mataifa yao kusonga mbele kiuchumi.. Aisee ww una matatzo ya akili k..nge Maji ww


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Maprofesa wa tz wengi hawana jipya wala msaada ktk nchi hii
 
Yaani kama makada ni hawa basi lazima chama kife tu!!!!!!!
Unanzishaje mada itayokudhuru hapo baadaye!!??

Hivi unajua wabunge na elimu zao na wamepitishwa na vyama husika kugombea????!!!
Raha ya kuanzisha ugomvi uwe na uhakika wa kushinda!!!!!!
 
HAMY-D bwana,fitina na uchimbi tu ndio utendaji wako mathubuti,kheri ya mbowe umakini na umathubuti wake umeonekana ndani ya ya miaka 10 na ushehe wa uongozi wake,na naamini Kikwete zaidi ya vijembe na ndimi mbili hana anachoweza kumpita Mbowe kwa ueledi mtambuka!!

Endeleeni ku-recruit vijana wa kumwaga damu kwa uroho wa kubaki madarakani!!
 
Prof. Nape
Prof. Kinana
Prof. Kikwete
Prof. Mwigulu
Prof. Sadifu
Prof. Wasira
Prof. Lukuvi
Kweli ccm inaongozwa na Maprofesa wanaowaongoza Maprofesa wenzao kama Maghembe, Tibaijuka nk.
 
kwa hili la katiba CCM mmeshabugi vibaya mno, hamtoki trip hii.
 
WanaJF,

Binafsi uwa nafanya judgment kwa mtu kwa kuzingatia kiwango chake cha elimu. Siku zote.

Tangu zamani nilimdharau Mbowe kwa kuwa ni kijana aliyepata sifuri kwenye mitihani ya kidato cha 6 ilhali alikuwa na dhana zote za kuweza kumfanya afaulu vizuri!

Katika hali kama hiyo, baada tu ya kupewa uenyekiti CHADEMA, niliamini kwa 100% chama kitaelekezwa kuzimu. Na leo yametimia.

Ila kikubwa kilicho nipelekea kuandika huu uzi, ni baada ya kuona Prof Lipumba na wasomi wengineo kukubali kuongozwa na mtu kama Mbowe. Kweli!!!?

Lakini ukitazama sababu hasa ya mtu msomi kama Prof Lipumba, pamoja na mambo mengine, utagundua kuwa amekubali kudhalilika kisa maslahi binafsi. Hilo liko wazi.

Prof Lipumba please honour your doctorate. You can not bow to someone like Mbowe. He's too low for u.
TALENT MATTER unaweza kuwa msomi mzuri ukakosa idea za what to do / UKAWA BADO NI WACHANGA MNO WATAJIPANGA VEMA MUDA SIO MREFU INAFAHAMIKA DHAHRI HUU NI MWIBA MKALI KWA ccm
 
Maprofesa wa tz wengi hawana jipya wala msaada ktk nchi hii

Msomi hapigi kelele, utapewa chapisho usome na ni juu yako kuelewa au kuacha!!!!!
Angalia mikakati ya nchi na uulize nini kipya ambacho tungeshindwa kufanya kuanzia mkukuta mpaka BRN ila kwa nini sio home baked????!!!!
Uliza sababu za kung'ang'ania haki ya kugombea badala ya kuweka vigezo???!!!!!

Nchi isiyothamini wasomi ni giza tu ndio litawastua!!!!!!
Hata wewe unabweka hapa kwa nasaba ya siasa na sio ujuzi
 
1399266900310.jpg
Hawa pia hawaamini katika dawa za Maprofesa wanaamini dawa za Std 7 tena kutoka kijijini kabsa.
 
Nyie ma-ccm vipi yule prof wenu anaye waambukiza ukimwi kwa makusudi yatima?
 
WanaJF,

Binafsi uwa nafanya judgment kwa mtu kwa kuzingatia kiwango chake cha elimu. Siku zote.

Tangu zamani nilimdharau Mbowe kwa kuwa ni kijana aliyepata sifuri kwenye mitihani ya kidato cha 6 ilhali alikuwa na dhana zote za kuweza kumfanya afaulu vizuri!

Katika hali kama hiyo, baada tu ya kupewa uenyekiti CHADEMA, niliamini kwa 100% chama kitaelekezwa kuzimu. Na leo yametimia.

Ila kikubwa kilicho nipelekea kuandika huu uzi, ni baada ya kuona Prof Lipumba na wasomi wengineo kukubali kuongozwa na mtu kama Mbowe. Kweli!!!?

Lakini ukitazama sababu hasa ya mtu msomi kama Prof Lipumba, pamoja na mambo mengine, utagundua kuwa amekubali kudhalilika kisa maslahi binafsi. Hilo liko wazi.

Prof Lipumba please honour your doctorate. You can not bow to someone like Mbowe. He's too low for u.

Acha ubinafsi wa kijinga wewe kwani wewe na baba yako nani anaelimu kumzidi mwingine, mbona hujawahi kuhoji kuwa kwanini tunaongozwa na maraisi wasio maprofesa wakati nchi ina maprofesa kibao
 
Nani kakumbia ukiwa prof una qualify kuwa kiongozi bora kuliko unayeemzidi
Mwl alihitaji kuwa na phd kuwa that much better, mshamba wa wapi wew? Ndio hao hao mnaoita watu vihio kisa hawajui kuongea kingereza, kwa hiyo wanzungupia ni vhio kwa sababu hawajui kuongea kiswahili
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom