EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,086
Hawezi kutoboa atakimbiaKama umesoma combination za arts advance kasome Geology, au Petroleum geology uone kama utatoboa
Hawezi kutoboa atakimbiaKama umesoma combination za arts advance kasome Geology, au Petroleum geology uone kama utatoboa
Degree yoyote uwa na kozi maalum kwa ajili ya kitu fulani, ukisema hili ni la yule na hili ndio langu utoboi na degree yako.sasa haya yote uliyo yaeleza ni mambo ya mtu wa Petroleum Chemistry. Petroleum engineering kazi yake ni kuchimba na kuzalisha mafuta kutoka kwenye kwamba. Huyo Petroleum chemistry ndiye anahusika na kusafisha mafuta na gesi, kutengeneza kemikali kwa kutumia kampaundi zilizopo kwenye mafuta na gesi, kutengeneza mafuta mbadala kama hayo uliyo yaweka hapo, kutengeneza matairi, kutengeneza mbolea kwa kutumia gesi (Natural gas) na mafuta (naphtha), n. k n. k
Yeah ni kweli shida huanzia hapa utakuta huna hiyo knowledge mfano mimi niseme nianze, kutafuta kazi za medicineDegree yoyote uwa na kozi maalum kwa ajili ya kitu fulani, ukisema hili ni la yule na hili ndio langu utoboi na degree yako.
Kitu ambacho hawajui nikuwa wanaenda kusoma rocks aka miamba ambayo ni combination of minerals and compounds ambapo kama haukosoma Physical chemistry au organic chemistry hupati kitu kapo kisha watasoma masuala ya composition, decomposition, transportation and erosion, migration(petroleum), deposition, leaching, structure (fracture, earthquakes, physics and maths), mineralogy and crystrostaphy(chemistry) etcHawezi kutoboa atakimbia
Sio kwa nchii hiiUmechemka real number na whole zinafundishwa![]()
Acha udanganyifu ndugu,nina mdogo wangu kasoma geology UDSM hapa tena kaingia na EGM,amemaliza salama na yuko kazini sasaN
Ndio maana UDSM huwezi chaguliwa petroleum au mechanical engineering kama huna PCM. Unadhani kwanini. UDSM hata geology tu PGM huchukuliwi.
geology ipi kasoma mkuu pale UDSM kuna Geology za aina tatu.Acha udanganyifu ndugu,nina mdogo wangu kasoma geology UDSM hapa tena kaingia na EGM,amemaliza salama na yuko kazini sasa
Na wewe uko wapi sasa hivi?Hiyo ilikua hot. Nakumbuka 2013 namaliza Geology UDOM washakaji wa petroleum karibi wote walikua washapata ajira za maana wakiwa chuo bado. Alafu darasa lao walikua 7 tu.
Nakazia tena na tena EGM hawezi somea IN GEOLOGY wala PETROLEUM GEOLOGY wala GEOPHYSICS wala ENGINEERING GEOLOGY.Acha udanganyifu ndugu,nina mdogo wangu kasoma geology UDSM hapa tena kaingia na EGM,amemaliza salama na yuko kazini sasa
Hapa umekuwa specificNakazia tena na tena EGM hawezi somea IN GEOLOGY wala PETROLEUM GEOLOGY wala GEOPHYSICS wala ENGINEERING GEOLOGY.
ndio mkuu, kuna nyingine imeongezwaHapa umekuwa specific
With GEOLOGY ,in GEOLOGY , huko mwanzoni mlikuwa mnaitaja GEOLOGY bila kuspecify,kumbe hiyohiyo GEOLOGY kuna ambayo EGM anaingia na ambayo EGM haingii kulingana na limitation ya maarifa yake toka advanced level .
Kwa kifupi ni kwamba hizi IN GEOLOGY, PETROLEUM GEOLOGY, AND ENGINEERING GEOLOGY zinahitaji knowledge ya ADVANCED PHYSICS AND ADVANCED CHEMISTRY.Hapa umekuwa specific
With GEOLOGY ,in GEOLOGY , huko mwanzoni mlikuwa mnaitaja GEOLOGY bila kuspecify,kumbe hiyohiyo GEOLOGY kuna ambayo EGM anaingia na ambayo EGM haingii kulingana na limitation ya maarifa yake toka advanced level .