BongoTz
JF-Expert Member
- Nov 3, 2006
- 272
- 3
Nianze kwa kuwashukuru watanzania wote (ndani na nje ya nchi) ambao tayari mmeitikia wito huu na kuonyesha ushirikiano wa hali ya juu kwa kusaini petition. Sambamba na hilo, napenda pia kuwashukuru wale wote mliokubali kutoa muda wenu kuwapigia simu/andikia email wabunge mbalimbali wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuwaelezea kwa kina umuhimu wa mradi huu (shukrani za pekee kwa Dr. Wilbroad Slaa, mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA 2010, aliyeona umuhimu wa suala hili na kuamua kusaini petition).
Natambua suala hili limechukua muda mrefu sana, but at last, juhudi zetu zinakaribia kuzaa matunda. Hata Kikwete mwenyewe anaonekana sasa kuwa "onboard"--maana ameahidi mwenyewe kuwa--mradi huu utatekelezwa ndani ya kipindi cha mhura wake wa mwisho (2010-2015).
Petition inapatikana hapa: TATIZO LA UMEME: TUPATIENI 'STIEGLERS GORGE' Petition
P.S. Kama unawafahamu watu wengine ambao wangependa kusaini hii petition lakini hawana access ya Internet; basi naomba tuwasiliane ili nikutumie petition zilizochapwa (print version).
Thank you!
Natambua suala hili limechukua muda mrefu sana, but at last, juhudi zetu zinakaribia kuzaa matunda. Hata Kikwete mwenyewe anaonekana sasa kuwa "onboard"--maana ameahidi mwenyewe kuwa--mradi huu utatekelezwa ndani ya kipindi cha mhura wake wa mwisho (2010-2015).
Please endeleeni kusaini petition/sambaza ujumbe kwa wabongo wengine ili tuzidi kuibana serikali itekeleze ahadi hii ndani ya kipindi cha miaka mitano, kama Rais alivyoahidi mwenyewe.By Rodgers Luhwago
21st November 2010
President Jakaya Kikwete has said the government would start implementing the multibillion power Stigler's Gorge project on Rufiji River in this second term of his government.
Delivering a maiden speech when inaugurating the 10th Parliament in Dodoma on Thursday President Kikwete said the Stigler's Gorge Power Project would generate 2100 MW upon completion.
The President was outlining strategies by his government of alleviating shortage of power in the country. "I have been informed that this project will take nine years before the power is switched on. I hope to start implementing the project within the period of five years," he promised.
The project is located at a narrow gorge on the Rufiji River, some 230 kilomitres upstream from the Indian Ocean and it is some 374kilometres away from Dar es Salaam by road. The distance will be 165kilometres from Chalinze after construction.
This project was studied in 1978-80 by M/s Norplan / Hafslund who were commissioned by Rufiji Basin Development Authority (RUBADA). The capital cost is estimated at about US$1,200 million at 1985 prices.
According to the President, in the past five years the government succeeded to add 145 MW onto the national grid from natural gas. He said that plans to add another 100 MW from natural gas are complete. He said in the next five years the government expects to generate 640 MW from natural gas, hydro and coal.
He said the government would speed up the exercise of connecting more customers to power, adding that the target is to connect 30 percent of Tanzanians to electricity from the current 14 percent.
On education, Kikwete said in the past five years the government succeeded to expand education opportunities for children, adding that the efforts would be carried out during his second term. Education would continue to get the lion's share of the national budget every year, he said.
In the next five years the government would continue improving teachers' welfare and the working environment, including building teachers' houses across the country.
He also promised to continue building vocational training centers in each district. As for higher education, the president said he would implement a higher education programme that, among other things, aims at improving its quality to meet the standards needed by the local labour market, within East Africa region as well as internationally.
Construction of University of Dodoma would be finalised in this second term of President Kikwete's government, to be followed by the construction of Mwalimu Nyerere University of Agriculture at Butiama.
SOURCE: GUARDIAN ON SUNDAY
Petition inapatikana hapa: TATIZO LA UMEME: TUPATIENI 'STIEGLERS GORGE' Petition
P.S. Kama unawafahamu watu wengine ambao wangependa kusaini hii petition lakini hawana access ya Internet; basi naomba tuwasiliane ili nikutumie petition zilizochapwa (print version).
Thank you!