Serikali nayo inakalia udaku na ushilawadu?Watanzania wanapenda Sana ujinga na huku wapo nyuma kwenye mambo ya maendeleo. Huduma za jamii mbovu Ila wanakalia udaku 24 hours. Awamu hii mmenoa.. Awamu hii ni ya hapa kazi tu. Waliopo site wanaiona kazi ya John pombe Joseph magufuli. Subirini 2025 mchague rais mwingine wa kuwawaongoza Nyinyi kisha Kwa kushirikiana na viongozi wengine washauri achague RC mwingine.. Tatizo mnajazana ujinga kwamba mnaokosoa mko wengi. Sio kweli mko wachache tu watanzania wengi wenye nchi hawana shida na makonda.. Makonda na magufuli wapo sahihi
Watanzania wanapenda Sana ujinga na huku wapo nyuma kwenye mambo ya maendeleo. Huduma za jamii mbovu Ila wanakalia udaku 24 hours. Awamu hii mmenoa.. Awamu hii ni ya hapa kazi tu. Waliopo site wanaiona kazi ya John pombe Joseph magufuli. Subirini 2025 mchague rais mwingine wa kuwawaongoza Nyinyi kisha Kwa kushirikiana na viongozi wengine washauri achague RC mwingine.. Tatizo mnajazana ujinga kwamba mnaokosoa mko wengi. Sio kweli mko wachache tu watanzania wengi wenye nchi hawana shida na makonda.. Makonda na magufuli wapo sahihi
hukusikia kwa sababu hakutaka usikie alingia mitiniKuna mengine ni chumvi pia..upande wa pili wa Makonda mbona sikusikia?
Hivi ku-sign petition tunatumia fake ID??
Please, sign in the petition, and share to your friends huyu mtu aachie ofisi ya umma.
To sign the petition, follow the link below.
I just signed the petition: "PAUL MAKONDA NEEDS TO GO NOW!!!!!" Will you join me in supporting this issue? petition: PAUL MAKONDA NEEDS TO GO NOW!!!!!
Mmmh hapa hutupat ng'o ***** partition ndo niweke hom street,phone number,first name na last name mmmmy Watanzania kuwen makin na watu hawa wanaweza kuwa maagent wa bashite wanatumia kivul cha u-unt bashitePlease, sign in the petition, and share to your friends huyu mtu aachie ofisi ya umma.
To sign the petition, follow the link below.
I just signed the petition: "PAUL MAKONDA NEEDS TO GO NOW!!!!!" Will you join me in supporting this issue? petition: PAUL MAKONDA NEEDS TO GO NOW!!!!!
Vyote hivyo nji optional tuu, usiogope mtoto mzuri, you can sign ur petition withoout filling in those details Youngtozy1992Mmmh hapa hutupat ng'o ***** partition ndo niweke hom street,phone number,first name na last name mmmmy Watanzania kuwen makin na watu hawa wanaweza kuwa maagent wa bashite wanatumia kivul cha u-unt bashite
mmmh mi tumbo joto isje ikawa spy akatukamata wote tukang'olewa mapumbVyote hivyo nji optional tuu, usiogope mtoto mzuri, you can sign ur petition withoout filling in those details Youngtozy1992
Tehe hehehe kumbe mna akili zenu eeh!mnazirusha tu.[emoji122][emoji122][emoji122].mmmh mi tumbo joto isje ikawa spy akatukamata wote tukang'olewa mapumb
Mpuuzi mkubwa kabisa....na wewe unayemtetea mhalifu si uende ukamtetee mahakamani? Kuvamia kituo cha redio kwa mitutu ya bunduki na kupora content za kipindi ndio MAENDELEO anayoleta Bashite? Chicken headed!!!!!Hii issue ya watu wa Dar kuwa na akili za ajabus ijui itaisha lini.
Likitoka jipya ambalo halina msingi watu wanaruka nalo.
Wanahabari nao wanataka kususa kuandika habari za Makonda,wakati wakiandika wasipoandika mitandao ya kijamii itaandika,na pia TBC na ZBC na vyombo vingine vya habari vitaandika.
Hapa ni mchezo unaochezwa hapa,hii sshue ya clouds ni kamchezo fulani kamepangwa kununua akili za watu,na wamefanikiwa,utasikia kesho tena Makonda anafanya jingine.
Mwisho wa Siku miaka mitano hiyoo,Wabunge waliohamia Dar ku deal na makonda wanarudi kwao hawana Jipya na yeye JIJI kaliweka sawa.
Mwenye tatizo na Makonda aende Mahakamani,Simple tu