Petition: Makonda have to go now

Neemababy, acha mambo ya copy and paste toka magharibi. Ni watanzania wangapi wanajua petition? Je, umejiuliza kama serikali yako inatambua petition??

Nadhani hata hukufikiria kabla ya kuleta bango lako, it's true Makonda was/is wrong, kuvamia radio/tv station is wrong, tuhuma dhidi yake kuhusu vyeti ni wrong, he needs to come clean, lakini sio kwa vi-petition vyako.
 
Serikali nayo inakalia udaku na ushilawadu?

Mara ya mwisho nilisikia serikali ikiahidi kuboresha huduma za jamii na kuwaletea watanzania maendeleo.

Leo hii serikali inajivua jukumu hilo inawatupia na kisha kuwalaumu watanzania.

Na sisi watanzania tulivyo na akili mbovu kama ndege joni hatujifunzi.
 
Hakuna kulala katika kulinda demokrasia ya uhuru wa mawazo na haki ya kujieleza.
Hata kama Idd Amin atamlinda vipi Maliyamungu wake, hatutakata tamaa kupaaza sauti na kukemea uharamia.
 
Nyie angaikeni kuandika huku, ila uraian hapa G/mboto hawana habari.

Ingefaa mpite na vipaza sauti.
 
Acha kuonyesha ujuha wako hadharani wewe! Hakuna udaku kwenye habari ambayo matukio mawili ya kufoji vyeti na uvamizi yote yametokea. Ni hasara kubwa kwa Taifa kuwa na mapunguani kama wewe.

 

Hapana naomba usitishe kwanza hii petition.
Tumwache Mkuu wala tusimwingilie kwa sasa, lakini baada ya muda wa miezi 3-6 hivi ndipo tuwachukulie hatua wote wawili.
 
Mmmh hapa hutupat ng'o ***** partition ndo niweke hom street,phone number,first name na last name mmmmy Watanzania kuwen makin na watu hawa wanaweza kuwa maagent wa bashite wanatumia kivul cha u-unt bashite
 
Mmmh hapa hutupat ng'o ***** partition ndo niweke hom street,phone number,first name na last name mmmmy Watanzania kuwen makin na watu hawa wanaweza kuwa maagent wa bashite wanatumia kivul cha u-unt bashite
Vyote hivyo nji optional tuu, usiogope mtoto mzuri, you can sign ur petition withoout filling in those details Youngtozy1992
 
mods msaidieni mwanzisha mada ku-edit title ya thread ili pale kwenye "have" pasomeke "has" .
 
Basis ya hii petition ni kutokana na utendaji kazi wake mbovu ama ni kutokana na tuhuma za mitandaoni?
 
Mpuuzi mkubwa kabisa....na wewe unayemtetea mhalifu si uende ukamtetee mahakamani? Kuvamia kituo cha redio kwa mitutu ya bunduki na kupora content za kipindi ndio MAENDELEO anayoleta Bashite? Chicken headed!!!!!

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…