Mzalendo-Tz
Member
- Apr 19, 2017
- 81
- 33
Kaka Peter Msigwa hili jambo naomba ulifanye wewe mwenyewe.
Tumia rejea za tukio la Lissu na Mo, kisha ufute swali lako.Hamna CCTV hapo mpaka useme hivi useme vile.
Kamuulize Zakaria.ACHENI KUTAFUTA KIKI ZA KIJINGA HAKUNA MWANAUSALAMA AMBAYE YUPO KWA AJILI YA KUTESA AU KUTISHIA WATU,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuunga mkono, kuna watu JF aidha akili zao ni za chini sana, au mapenzi ya kichama yamewapa uchizi.Wakati mwingine huwa nafikiri akiri zako zina funza
Sasa Mkuu si tumshtaki Kwa ku defame TISS?Hawezi kuwa posted sababu hayupo. Zitto alikua atafuta kiki tu baada ya kiki ya CAG kubuma na CAG kujisalimisha kama ambavyo ilitarajiwa na kila mtu mwenye kufikiria mwenyewe.