Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Hahahaha....aseeeeMpostini ili tumjadili tabia zake zote toka akiwa shule ya kata
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha....aseeeeMpostini ili tumjadili tabia zake zote toka akiwa shule ya kata
Zitto sasa hivi anawewesa kama 'mku%ndu%' wa kiboko ukipita upepo au jani lazima ataarisha tu!Dawa ya moto ni moto
Matusi na uchawi ndio mbinu pekee aliyobaki nayo kapuku .Zitto sasa hivi anawewesa kama 'mku%ndu%' wa kiboko ukipita upepo au jani lazima ataarisha tu!
MATUSI ni mojwapo kwenye maazimio ya Zanzibar!Matusi na uchawi ndio mbinu pekee aliyobaki nayo kapuku .
Matusi ya nini sasaZitto sasa hivi anawewesa kama 'mku%ndu%' wa kiboko ukipita upepo au jani lazima ataarisha tu!
Ni AZIMIO la Zanzibar!
ACHENI KUTAFUTA KIKI ZA KIJINGA HAKUNA MWANAUSALAMA AMBAYE YUPO KWA AJILI YA KUTESA AU KUTISHIA WATU,,
Basi mpaka hapo nimekuelewa wewe ni mtu wa aina gani,kwa heriKwani kwa Lisu kuna uchunguzi rasm uliombwa ufanyike na ulikataliwa.
Sijawahi kusikia jarada limefunguliwa na yeyote si familia wala chama.Basi mpaka hapo nimekuelewa wewe ni mtu wa aina gani,kwa heri
Wewe ni bonge la mpuuzi, ulitaka atishiwe kisha anyamaze kwa ajili ya nyie mbulula walamba makalio mtachukia! Fc! Toeli upuuzi wenu nyambafuAmani ikishapotea kuirudisha inahitajika gharama kubwa sana au inaweza isirudi kabisa.
Sasa ni vyema kuwa makini mno na wanasiasa wa aina hii ambao kwao ni sifa kisiasa kutengeneza matatizo.
Hiyo kweli komesha, lazima kungekuwa na kuheshimianaHii inatakiwa sn.Awekwe hadharani na watanzania wamjue.Akifanya unyama na yeye wazazi au ndugu wa karibu achinjwe.Maisha ni jino Kwa jino.
Hata alifanya lile la lisu,nape, Azor n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio ajabu haya waweza kumwambia hata mzazi wako akikuuliza mbona umewasusa? CCM imewaharibu sana, huko nyuma haukuwa hivyo!Zitto sasa hivi anawewesa kama 'mku%ndu%' wa kiboko ukipita upepo au jani lazima ataarisha tu!
Sidhani kama bongo zauzwaJamani wabunge wetu, kuna zile kalamu unaichomeka tu mfuko wa shati inapiga picha na kurekodi mambo km haya. Zipo zinauzwa bei nzuri tu. Wala mtu hawezi kujua anarekodiwa. Ni muda wa kuishi kisasa zaidi
Huu ujumbe wako mtu asipousoma kwa utulivu mtu anaweza kudhani unamaanisha kinyume chakeCctv hizo zinakuwa managed na Binge na hawawezi kutoa footage hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mara ngapi wanakamatwa watu wakijinadi wao ni maafisa wa usalama?
Wakati mwingine huwa nafikiri akiri zako zina funzaMwehu, msigw na zzk pimb tu, huwezi kujitafutia mtu wa kukutishia umemlipa hela then unajitangaza, hivi kikaragosi zzk ana nini cha maana zaidi ya kupoteza ubunge 2020?
Akili za ustadhi hiziNi mwendo wa kiki tu!