Peter msechu akiwa na mkewe

Peter msechu akiwa na mkewe

du mramba si yupo ukonga duh kwa hyo anyongwe kabisa ama maana hili noma......
Ccm wanadharau sn huyu si walimtuma awaambie watz kuwa hata km tutakula nyasi lazima ndege ya rais inunuliwe? Ccm inajua kutumia vijana wake km condomu walimtuma nape apige goli la mkono alafu walipo mpiga yeye goli hilohilo alilalama weee....
Hapo bado hawajamtuma Kassim majaliwa awaahidi waislam kuwa ccm itawaletea mahakama ya kadhi
 
Ccm wanadharau sn huyu si walimtuma awaambie watz kuwa hata km tutakula nyasi lazima ndege ya rais inunuliwe? Ccm inajua kutumia vijana wake km condomu walimtuma nape apige goli la mkono alafu walipo mpiga yeye goli hilohilo alilalama weee....
Hapo bado hawajamtuma Kassim majaliwa awaahidi waislam kuwa ccm itawaletea mahakama ya kadhi
ni kweli mkuu tule nyasi wakati huo huo madini yetu yakisombwa na ndege kwel alipo ni duniani apa apa...
 
hii..
2adc4618135e67ebf99e44548163157e.jpg
Kwa hilo tumbo kuna baadhi ya shughuli muhimu atashindwa kufanya
 
aisee wanasema kupigiwa siri ya ndani ila ukifikia namna inakua siri ya umma

ila pongezi kwao wote
 
Hivi, jamaa ameshindwa kabisa kudhibiti 'kiribatumbo'!!
Juzi Pale Efm amesisitiza..Shughuri anaweza Na anapenda tu awe bonge japo ubonge Ni mwili wake( mazoezi anafanya na akasisitiza wote wanaomwitiaga product na kunywa ili apungue na wakitumia njia ya kumwitia kazi kumbe wanamwitia dawa ya kupungua unene wakome!!!!Na akasema kama Kuna MTU Unadhani shughuri hawezi akamjaribu..Eti kama hawezi as ingekuwa anafumaniwafumaniwa Na mkewe( ilikuwa Uhondo Na Dinna Marious juzi jumatano SAA 6- mpaka 9 alasiri.
 
ni kweli mkuu tule nyasi wakati huo huo madini yetu yakisombwa na ndege kwel alipo ni duniani apa apa...
Kiwango cha uzuzu wa watz kimezidi viwango vya kawaida..........MITANZANIA INAENDESHWA NA KUCHEZESHWA SHELE NA MAJIZI YALEYALE ccm
 
Back
Top Bottom