Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,099
- 630
Mwanasiasa Mkongwe Peter Kisumo amemsifia Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahaman Kinana kwa kusema toka mwaka 1995 mpaka leo hakuna aliyemfikia Kinana katika nafasi hiyo.
Pia Kisumo amemtaka Rais Kikwete kuiga Marais waliomtangulia kwa kufanya maamuzi dhidi ya viongozi wa serikali na sio kusubiri mpaka Wabunge wapige kelele.
Pia Kisumo amemtaka Rais Kikwete kuiga Marais waliomtangulia kwa kufanya maamuzi dhidi ya viongozi wa serikali na sio kusubiri mpaka Wabunge wapige kelele.