kwa yoyote alieoa na kuolewa na avae icho kitambulisho alichokikubali mwenyewe cku anajiingiza kwenye cub ya ndoa bila kulazimishwa na yoyote, lakini ndio hivyo tena kia mtu anazichukulia ki vyake, kwangu mie cjawahi kuivaa mwaka wa 6 sasa.
zinatushushia heshima kivipi?..mie cjawahi kuivua yangu aisee..
Hahahaha mpwa kumbe ndo maana unavaa mikono yote pete in case of any suspicious!
....kwa yoyote alieoa na kuolewa na avae icho kitambulisho alichokikubali mwenyewe cku anajiingiza kwenye cub ya ndoa bila kulazimishwa na yoyote, lakini ndio hivyo tena kia mtu anazichukulia ki vyake, kwangu mie cjawahi kuivua mwaka wa 6 sasa.
Kha!! hapa luv kweli umeingia choo cha kiume.
labda utendwe halafu ushindwe kusamehe, lakini kama utasemehe bado ina umuhimu wake.
Ngoja nikaitafute.
Nimeshuhudia mara kadhaa mabinti wakisema buzi lililo oa ndo lenyewe linachunika sasa hapo alama pekee ni pete.
Sisi ving'ang'anizi alafu uso wa mbuzi tukiangaliwa kwenye vidole patupu mrembo anaishia kusema wewe si wa type yangu.
Kuna shemeji yangu ni fundi umeme yeye amemwambia dada yangu hataki kuvaa pete kwa sababu ya nature ya kazi yake kwamba akivaa pete anaongeza hatari ya kupigwa na shoti ya umeme.
umevua pete ye2?...nipo laaziz majukumu tu,haibiwi mtu hapa yaani jiamini 101% laaziz.
Mwazani mangalie sna huyo shemeji yenu! Kama anampenda mkewe angeivaa na kuiua wakatu wa kazi anyway mie hata shingoni ningeitundika; ile kuwa nayo jirani ni raha!
Wanajadili TEAMO!!!!!!!EHEHEHE!mnajadili nini nyie watu?
Mimi mke wangu avae asivae hainisumbui provided she loves me. Mtu anaweza kuvaa hata ya thamani kama ile ya aliyovishwa Happiness Magesse-USD 70,000 na bado akawa kiwembe bin Kicheche. Pete ni kama mabati tu mimi naamini zaidi kwenye upendo wa dhati na sio lazima uwe demonstrated na pete kwenye vidole vyote 10.
inahusianaje?