Pete iliyotangatanga

hizi Pete za namna hii hata ukiokota usiichukue
 
Mimi nimekuelewa vizuri sana..hiyo imeshakuwa roho yako ya pili na siku likitokea la kutokea (sikuombei mabaya )nayo itapotea mazima na isipopotea italeta shida sana kwa watakao kuwa nayo

Inawezekana ikawa ivyo ila sitaki kuliwekea maanani
 
hizi Pete za namna hii hata ukiokota usiichukue
Nimesikia juzi kwenye redio akihojiwa Ben Pol naye anayo yake ya fuvu akasema ni urembo tu.
.
.
.
Nikajiulizaaaaaaaa tangu lini fuvu likawa urembo siku hizi!?? #kuigaNIkubaya
 
Nimesikia juzi kwenye redio akihojiwa Ben Pol naye anayo yake ya fuvu akasema ni urembo tu.
.
.
.
Nikajiulizaaaaaaaa tangu lini fuvu likawa urembo siku hizi!?? #kuigaNIkubaya
Inawezekana kabisa hajui maana yake au anajua ila anaficha ukweli ila kwa vyovyote ile Pete ya fuvu si kitu cha kawaida au urembo hata kidogo
 
Pete ni mamlaka; ndio maana wafalme wana pete; au kiongoz yeyote anaweza kuwa na pete ya uongoz huo. Kuna pete za ndoa uchumba na mengineyo. Mpendao pete vidolen muwe makin na pete za urembo mnaweza beba majini humo lasivyo muwe mnaziombea. Hatq kuna hiz pete za miguun nazo tunaita urembo lakin unabeba had majin humo mdan; kuna vikuku pia. Sikatai msichana kujiremba sababu ni vizur pia. Lakin tujifunze kuombea hivyo vitu. Naongea ninajua ninachosema hapa na nina uhakika; tuwe makin sana unaweza jikuta kila cku ugomv hauish ndan ya nyumba au rlshp hazidumu kumbe una kitu umebeba ambacho kina leta yote hayo.watu mwaweza bisha sababu hayajawakuta ila yakikukuta mtajua nn namaanisha. Hii dunia ya sasa ni kuwa makin na kila kitu si hivyo tu vya hapo juu; na vingine vyote. Mungu atulinde hich kizaz
 
Inawezekana mwana jf mmoja anayo humu!huku ni kuleta mahaba kwa uji wa matanga huku.


Mshana! Ngoja kwanza....

Hebu ongea na huyo jamaa afunguke hiyo Pete ikoje
kama hana picha basi chukua maelezo alafu yaweke ktk picha hata kwa kuchora kisha itupie hapa

kuna Pete moja hapa home hata sielewi elewi jinsi nilivyoipata
 
Mshana! Ngoja kwanza....

Hebu ongea na huyo jamaa afunguke hiyo Pete ikoje
kama hana picha basi chukua maelezo alafu yaweke ktk picha hata kwa kuchora kisha itupie hapa

kuna Pete moja hapa home hata sielewi elewi jinsi nilivyoipata
Nawasiliana naye kupata zile barua..kwa picha itakuwa ngumu by then tech haikuwa so advanced
 
ngoja niulize ba hii boxer niliopewa zawadi ???
 

Nilitegemea kusikia Mazara ya Pete Ila sijasikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…