Pesa ya mshahara haitoshi kwa watumishi kwa sababu kuu tatu!!

Pesa ya mshahara haitoshi kwa watumishi kwa sababu kuu tatu!!

neno ni upanga

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2022
Posts
681
Reaction score
2,293
Habari wakuu watumishi wengi wanalalamika kuwa mshahara hautoshi! Ukiona umeajiriwa iwe sekta binafsi au serikali na mshahara wako hautoshi namanisha take home kuanzia 150k na kuendelea ujue kuwa sababu kuu ni haya maeneo matatu

1: HUTOI FUNGU LA KUMI ( 10% OF YOUR BASIC SALARY) : maisha yapo kiroho zaidi kuliko wengi wanavyojua! Kama mtu hatoi fungu la kumi lazima pesa zitaibiwa kwa njia ambayo ni vigumu kujua ( magonjwa, ajali, matatizo ya ndugu nk,) ulipasawa utoe 10% pekee yake utajikuta unatumia zaidi ya 20% ya mshahara wako kwa matumizi ambayo hukuyatarajia

Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema Bwana wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la.

Malaki 3:10



2: UZINZI NA UASHERATI : Ukiwa wewe ni mpenda wanawake na dhambi hii mbaya unayo hutulii na familia yako sahau mshahara wako kukutosha maana Mungu anakupa mshahara wako wewe na familia yako nje ya hapo unatawanya pesa sehemu ambapo hazikutakiwa kwenda! Na zaidi ya hapo ukiwa wewe ni mzinzi au mwasherati huna akili hivyo huwezi kuwa na akili ya kumanage pesa zako

Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.

Mithali 6:32

Maana kwa malaya mtu hutiwa katika hali ya kuhitaji kipande cha mkate; Na kahaba humwinda mtu anase nafsi yake iliyo ya thamani

Mithali 6:26








3: ULEVI : kama wewe ni mlevi hakuna siku mshahara utakutosha hata siku moja!

Kwa maana mlevi na mlafi huingia umaskini, Na utepetevu humvika mtu nguo mbovu.

Mithali 23:21



Note: hivyo vyitu vitatu ukiepukana navyo huwezi kukaa unalia lia mshahara haukotoshi
 
Habari wakuu watumishi wengi wanalalamika kuwa mshahara hautoshi! Ukiona umeajiriwa iwe sekta binafsi au serikali na mshahara wako hautoshi namanisha take home kuanzia 150k na kuendelea ujue kuwa sababu kuu ni haya maeneo matatu

1: HUTOI FUNGU LA KUMI ( 10% OF YOUR BASIC SALARY) : maisha yapo kiroho zaidi kuliko wengi wanavyojua! Kama mtu hatoi fungu la kumi lazima pesa zitaibiwa kwa njia ambayo ni vigumu kujua ( magonjwa, ajali, matatizo ya ndugu nk,) ulipasawa utoe 10% pekee yake utajikuta unatumia zaidi ya 20% ya mshahara wako kwa matumizi ambayo hukuyatarajia

Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema Bwana wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la.

Malaki 3:10



2: UZINZI NA UASHERATI : Ukiwa wewe ni mpenda wanawake na dhambi hii mbaya unayo hutulii na familia yako sahau mshahara wako kukutosha maana Mungu anakupa mshahara wako wewe na familia yako nje ya hapo unatawanya pesa sehemu ambapo hazikutakiwa kwenda! Na zaidi ya hapo ukiwa wewe ni mzinzi au mwasherati huna akili hivyo huwezi kuwa na akili ya kumanage pesa zako

Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.

Mithali 6:32

Maana kwa malaya mtu hutiwa katika hali ya kuhitaji kipande cha mkate; Na kahaba humwinda mtu anase nafsi yake iliyo ya thamani

Mithali 6:26








3: ULEVI : kama wewe ni mlevi hakuna siku mshahara utakutosha hata siku moja!

Kwa maana mlevi na mlafi huingia umaskini, Na utepetevu humvika mtu nguo mbovu.

Mithali 23:21



Note: hivyo vyitu vitatu ukiepukana navyo huwezi kukaa unalia lia mshahara haukotoshi
Hapo namba moja mitume hawakuwahi fundisha hayo mafundisho. Zaka iko kidini sana
 
Habari wakuu watumishi wengi wanalalamika kuwa mshahara hautoshi! Ukiona umeajiriwa iwe sekta binafsi au serikali na mshahara wako hautoshi namanisha take home kuanzia 150k na kuendelea ujue kuwa sababu kuu ni haya maeneo matatu

1: HUTOI FUNGU LA KUMI ( 10% OF YOUR BASIC SALARY) : maisha yapo kiroho zaidi kuliko wengi wanavyojua! Kama mtu hatoi fungu la kumi lazima pesa zitaibiwa kwa njia ambayo ni vigumu kujua ( magonjwa, ajali, matatizo ya ndugu nk,) ulipasawa utoe 10% pekee yake utajikuta unatumia zaidi ya 20% ya mshahara wako kwa matumizi ambayo hukuyatarajia

Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema Bwana wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la.

Malaki 3:10



2: UZINZI NA UASHERATI : Ukiwa wewe ni mpenda wanawake na dhambi hii mbaya unayo hutulii na familia yako sahau mshahara wako kukutosha maana Mungu anakupa mshahara wako wewe na familia yako nje ya hapo unatawanya pesa sehemu ambapo hazikutakiwa kwenda! Na zaidi ya hapo ukiwa wewe ni mzinzi au mwasherati huna akili hivyo huwezi kuwa na akili ya kumanage pesa zako

Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.

Mithali 6:32

Maana kwa malaya mtu hutiwa katika hali ya kuhitaji kipande cha mkate; Na kahaba humwinda mtu anase nafsi yake iliyo ya thamani

Mithali 6:26








3: ULEVI : kama wewe ni mlevi hakuna siku mshahara utakutosha hata siku moja!

Kwa maana mlevi na mlafi huingia umaskini, Na utepetevu humvika mtu nguo mbovu.

Mithali 23:21



Note: hivyo vyitu vitatu ukiepukana navyo huwezi kukaa unalia lia mshahara haukotoshi
Hilo fungu la 10 anakula nani??

Acheni UTAPELI wa KIHUNI.

FB_IMG_1753095062997.jpg
 
Maadili yana mchango mkubwa katika uchumi lakini siyo sababu kuu.

Kuna watu walevi, wazinzi na hawatoi hizo fungu na bado wana uchumi mzuri.

Kuna watu wanatoa hizo fungu, kisha wachungaji wananunua range na wao wanabakia choka mbaya.

Kuna watu sio walevi na sio wazinzi, wachapakazi ila bado ni masikini, hawa wanaingia kundi lipi?
 
Habari wakuu watumishi wengi wanalalamika kuwa mshahara hautoshi! Ukiona umeajiriwa iwe sekta binafsi au serikali na mshahara wako hautoshi namanisha take home kuanzia 150k na kuendelea ujue kuwa sababu kuu ni haya maeneo matatu

1: HUTOI FUNGU LA KUMI ( 10% OF YOUR BASIC SALARY) : maisha yapo kiroho zaidi kuliko wengi wanavyojua! Kama mtu hatoi fungu la kumi lazima pesa zitaibiwa kwa njia ambayo ni vigumu kujua ( magonjwa, ajali, matatizo ya ndugu nk,) ulipasawa utoe 10% pekee yake utajikuta unatumia zaidi ya 20% ya mshahara wako kwa matumizi ambayo hukuyatarajia

Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema Bwana wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la.

Malaki 3:10



2: UZINZI NA UASHERATI : Ukiwa wewe ni mpenda wanawake na dhambi hii mbaya unayo hutulii na familia yako sahau mshahara wako kukutosha maana Mungu anakupa mshahara wako wewe na familia yako nje ya hapo unatawanya pesa sehemu ambapo hazikutakiwa kwenda! Na zaidi ya hapo ukiwa wewe ni mzinzi au mwasherati huna akili hivyo huwezi kuwa na akili ya kumanage pesa zako

Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.

Mithali 6:32

Maana kwa malaya mtu hutiwa katika hali ya kuhitaji kipande cha mkate; Na kahaba humwinda mtu anase nafsi yake iliyo ya thamani

Mithali 6:26








3: ULEVI : kama wewe ni mlevi hakuna siku mshahara utakutosha hata siku moja!

Kwa maana mlevi na mlafi huingia umaskini, Na utepetevu humvika mtu nguo mbovu.

Mithali 23:21



Note: hivyo vyitu vitatu ukiepukana navyo huwezi kukaa unalia lia mshahara haukotoshi
Sure ipo sahihi.100%
 
Habari wakuu watumishi wengi wanalalamika kuwa mshahara hautoshi! Ukiona umeajiriwa iwe sekta binafsi au serikali na mshahara wako hautoshi namanisha take home kuanzia 150k na kuendelea ujue kuwa sababu kuu ni haya maeneo matatu

1: HUTOI FUNGU LA KUMI ( 10% OF YOUR BASIC SALARY) : maisha yapo kiroho zaidi kuliko wengi wanavyojua! Kama mtu hatoi fungu la kumi lazima pesa zitaibiwa kwa njia ambayo ni vigumu kujua ( magonjwa, ajali, matatizo ya ndugu nk,) ulipasawa utoe 10% pekee yake utajikuta unatumia zaidi ya 20% ya mshahara wako kwa matumizi ambayo hukuyatarajia

Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema Bwana wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la.

Malaki 3:10



2: UZINZI NA UASHERATI : Ukiwa wewe ni mpenda wanawake na dhambi hii mbaya unayo hutulii na familia yako sahau mshahara wako kukutosha maana Mungu anakupa mshahara wako wewe na familia yako nje ya hapo unatawanya pesa sehemu ambapo hazikutakiwa kwenda! Na zaidi ya hapo ukiwa wewe ni mzinzi au mwasherati huna akili hivyo huwezi kuwa na akili ya kumanage pesa zako

Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.

Mithali 6:32

Maana kwa malaya mtu hutiwa katika hali ya kuhitaji kipande cha mkate; Na kahaba humwinda mtu anase nafsi yake iliyo ya thamani

Mithali 6:26








3: ULEVI : kama wewe ni mlevi hakuna siku mshahara utakutosha hata siku moja!

Kwa maana mlevi na mlafi huingia umaskini, Na utepetevu humvika mtu nguo mbovu.

Mithali 23:21



Note: hivyo vyitu vitatu ukiepukana navyo huwezi kukaa unalia lia mshahara haukotoshi
Yaani pesa haitoshi na bado utoe fungu la kumi?
 
Back
Top Bottom