Pesa ya field

Pesa ya field

Blank page

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2015
Posts
6,084
Reaction score
6,087
Habar wakuu?
samahani mi nauliza ka kuna chuo ambacho mpaka leo hii tareh 09/09.2016 hawajapata pesa ya field ile first installment yani 310K.case angu imebase zaid kufahamu kama hadi leo hiki chuo cha Tumaini au Universiry of Iringa hawajapata pesa kweli? msaada pleas.
 
Habar wakuu?
samahani mi nauliza ka kuna chuo ambacho mpaka leo hii tareh 09/09.2016 hawajapata pesa ya field ile first installment yani 310K.case angu imebase zaid kufahamu kama hadi leo hiki chuo cha Tumaini au Universiry of Iringa hawajapata pesa kweli? msaada pleas.
Muulize loan office wako wa kile chuo cha kiboya sana
 
amna mkuu mi nina shida na pesa so nataka kufahamu kama mtu ninae mdai kaingiziwa pesa au lah mana maisha magumu now afu hela imekata ase mi siwafatilii mkuu.
Hata mimi ninaye mtu wa hivyo mkuu..!
Yeye anasoma KIU..!
 
mnanikumbusha mbaaaliii
hivo mkuu watu tupo field afu pesa imekata coz walitupa nusu asa kuna wenzetu hawakupewa kbsa mwanzo tukawaazima sasa sjui wao mpaka saiv hawajapewa,hali imekuwa ngumu ase.vijana awamu hii tunataabika akheri kama ushagapita huku na ukafanikiwa
 
Kijana kuweni wapole kwanza....sasa hivi tupo busy na operation ya kukamata wanaolala guest mida ya kazi....haiwezekan mtu saa tano asubuh yupo juu ya kiuno cha mwenzie anakatika
 
Kijana kuweni wapole kwanza....sasa hivi tupo busy na operation ya kukamata wanaolala guest mida ya kazi....haiwezekan mtu saa tano asubuh yupo juu ya kiuno cha mwenzie anakatika
Kausha baba unatuaribia biashara zetu za gest
 
Tumaini badoo ninao tp najua but second installment j4 au j5 don't get twisted cheeers
 
nimeambiwa kuwa jamaa wameambiwa hawawezi kupewa pesa nusu kwa sababu walisain so ati ni mpaka zifike zote ndo watapewa ati hakuna cha installments watapewa yote pa1 at once.sijui ni kwel ati
 
Back
Top Bottom