Pesa ya field

Pesa ya field

Habar wakuu?
samahani mi nauliza ka kuna chuo ambacho mpaka leo hii tareh 09/09.2016 hawajapata pesa ya field ile first installment yani 310K.case angu imebase zaid kufahamu kama hadi leo hiki chuo cha Tumaini au Universiry of Iringa hawajapata pesa kweli? msaada pleas.
Mm naulizia hiko kiinua mgongo cha pili
Yaan pesa ya kwanza imeisha nangojea hyo ya pili nikaoe maana field nmemaliza tyr
 
Back
Top Bottom