Pesa ya field vipi mbona kimya

Pesa ya field vipi mbona kimya

Hbr wakuu yeyote mwenye taarifa juu ya hii pesa ya mafunzo kwa vitendo(Field practical allowance)...ambayo serikali ilisema itatoa kwa awamu mbili lakini awamu ya pili ya pesa hizo haina hata dalili na field tunaaelekea kumaliza wengine next week...sijui hata kama swala lenyewe linakumbukwa na serikali au ndo is over
Tutajijua wenyewe tutakavolipa madeni tuliyokopa Daaah hali hii sijui inasababishwa na nini
mnatuvunja moyo kwel first year maana kwa hal hii wengne tunaweza kuiskia degree redion
 
Hbr wakuu yeyote mwenye taarifa juu ya hii pesa ya mafunzo kwa vitendo(Field practical allowance)...ambayo serikali ilisema itatoa kwa awamu mbili lakini awamu ya pili ya pesa hizo haina hata dalili na field tunaaelekea kumaliza wengine next week...sijui hata kama swala lenyewe linakumbukwa na serikali au ndo is over
Tutajijua wenyewe tutakavolipa madeni tuliyokopa Daaah hali hii sijui inasababishwa na nini
Mm namaliza kesho sina hana nauli
Daaah maisha ya tz hayahitaj hasira
 
Nasikia UDSM Mmewekewa elfu thelathini ni kweli??
 
duuu mtampasua kichwa mkuu wa nchi,mara pesa za field,mara TCU sijawaelewa,maraJKT wapya lini depo,mara tovut ya ajira mbona imefungwa,mara mzunguko wa pesa umepungua,mara wahanga wa tetemeko hawana matent,mara makontena bandar yamepungua,mara.........! yaaani daaaaaaa!
 
Back
Top Bottom