mtotowatatu
Senior Member
- Jul 31, 2016
- 103
- 58
Nani alikwambia ununue subwoofer? Natania
Hawa watakuwa wa UDOM,c serikali ishawalipa pesa UDSM,UDOM shida sana kila siku pesa mnacheleweshewa cjui kwannNani alikwambia ununue subwoofer? Natania
Acha kumuuliza maswali ya kijinga mdogo wewe,hata kama aliitumia kuhonga malaya c ni ya kwake na anadai haki yakemkuu hebu tuambie ile kilo 3 na 10 umepeleka wap
Vyuo gani hivyo ulivosikia dada fatuma hebu vitaje hapa wenyewe watakuwepo humu kuthibitisha kama kweliBaadhi ya vyuo nasikia washapewa pesa ya fld awamu ya pili
Hbr wakuu yeyote mwenye taarifa juu ya hii pesa ya mafunzo kwa vitendo(Field practical allowance)...ambayo serikali ilisema itatoa kwa awamu mbili lakini awamu ya pili ya pesa hizo haina hata dalili na field tunaaelekea kumaliza wengine next week...sijui hata kama swala lenyewe linakumbukwa na serikali au ndo is over
Tutajijua wenyewe tutakavolipa madeni tuliyokopa Daaah hali hii sijui inasababishwa na nini
mnatuvunja moyo kwel first year maana kwa hal hii wengne tunaweza kuiskia degree redionTayari lini mkuu na chuo gani labda tuanzie hapoHela tayari labda hajafatilia
Tayari lini mkuu na chuo gani labda tuanzie hapoHela tayari labda hajafatilia
UDOM Mmemaliziwa lini hiyo ya pili this week or last weekUdam tushapata yote
Mm namaliza kesho sina hana nauliHbr wakuu yeyote mwenye taarifa juu ya hii pesa ya mafunzo kwa vitendo(Field practical allowance)...ambayo serikali ilisema itatoa kwa awamu mbili lakini awamu ya pili ya pesa hizo haina hata dalili na field tunaaelekea kumaliza wengine next week...sijui hata kama swala lenyewe linakumbukwa na serikali au ndo is over
Tutajijua wenyewe tutakavolipa madeni tuliyokopa Daaah hali hii sijui inasababishwa na nini