Hbr wakuu yeyote mwenye taarifa juu ya hii pesa ya mafunzo kwa vitendo(Field practical allowance)...ambayo serikali ilisema itatoa kwa awamu mbili lakini awamu ya pili ya pesa hizo haina hata dalili na field tunaaelekea kumaliza wengine next week...sijui hata kama swala lenyewe linakumbukwa na serikali au ndo is over
Tutajijua wenyewe tutakavolipa madeni tuliyokopa Daaah hali hii sijui inasababishwa na nini
Tutajijua wenyewe tutakavolipa madeni tuliyokopa Daaah hali hii sijui inasababishwa na nini