Pesa kidogo challenge

Pesa kidogo challenge

Pesa kidogo hotelini humalizi chakula

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Hao watu hua nawashangaa sana, yani mimi niende hotelini nijikute mzungu niache chakula labda niwe nimelogwa
Mbali na hapo napiga macho huku na huko nikiona watu hawanioni nakombesha sahani mpaka tone la mwisho.

Mfano unakuta hotelini soda moja buku 5 halafu ka mtu kanajikuta kazungu kanakunywa kanaacha nusu, ujinga kabisa
 
Hao watu hua nawashangaa sana, yani mimi niende hotelini nijikute mzungu niache chakula labda niwe nimelogwa
Mbali na hapo napiga macho huku na huko nikiona watu hawanioni nakombesha sahani mpaka tone la mwisho.

Mfano unakuta hotelini soda moja buku 5 halafu ka mtu kanajikuta kazungu kanakunywa kanaacha nusu, ujinga kabisa


Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom