njiwa hana pesa, lakini wanapendana na kutembea pamoja kila siku....kuna upendo unaozidi ule wa njiwa?....hapo ndo tuamini kuwa pesa si kigezo cha upendo, kama kigezo itakuwa ni pesa basi hilo ni penzi la kuchunana...omba Mungu mwanamke asiwe yule wa bomangómbe kule kwa wapalestina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.