Pesa aliolipwa floyd myweather,

Pesa aliolipwa floyd myweather,

Pesa ambayo amelipwa / atakayolipwa floyd myweather baada ya kushinda kwa point katika pambano lenye utata , katika maamuzi dhidi ya manny pac

1. Ni zaidi ya mishahara ya mchezaji wa barcelona (mess) na mchezaji wa real madrid ( christian ronaldo) zote zichanganywe kwa miezi 5 mfululizo
2. Imevuka bajeti ya visiwa kama comoro, na nchi ya sudan kusini, na somali, na imekaribia kabisa bajeti ya zanzibar ya mwaka
3. Ni sawa na thamani ya mbuga ya mikumi na serengeti
4 . Imevuka bajeti ya wizara ya kazi na ajira, na wizara ya michezo na utamaduni ya tanzania
5. Imevuka na pesa wanayolipwa wabunge la tanzania na hata kenya kwa mda wote watakao fanya vikao hii pamoja na posho

Hii ndio pesa aliolipwa floyd my weather kwa siku moja tu,ya jana, pia atakuwa mwana michezo tajiri kuliko wote duniani

Ukiona mtu anaita "mtoto wa ng'ombe" badala ya "ndama", ni kutokujua sio makusudi. Ni hilo tu.
 
Pesa ambayo amelipwa / atakayolipwa floyd myweather baada ya kushinda kwa point katika pambano lenye utata , katika maamuzi dhidi ya manny pac

1. Ni zaidi ya mishahara ya mchezaji wa barcelona (mess) na mchezaji wa real madrid ( christian ronaldo) zote zichanganywe kwa miezi 5 mfululizo
2. Imevuka bajeti ya visiwa kama comoro, na nchi ya sudan kusini, na somali, na imekaribia kabisa bajeti ya zanzibar ya mwaka
3. Ni sawa na thamani ya mbuga ya mikumi na serengeti
4 . Imevuka bajeti ya wizara ya kazi na ajira, na wizara ya michezo na utamaduni ya tanzania
5. Imevuka na pesa wanayolipwa wabunge la tanzania na hata kenya kwa mda wote watakao fanya vikao hii pamoja na posho

Hii ndio pesa aliolipwa floyd my weather kwa siku moja tu,ya jana, pia atakuwa mwana michezo tajiri kuliko wote duniani

we unaijua thamani ya Serengeti wewe????
 
Huyu jamaa mwongo
Hela aliyolipwa haina thamani kuliko Serengeti
 
Pambano lilikuwa na thaman ya dola 250$ Millions ambapo Mayweather alipata 150$Millions na ManPac akapewa 100$ M
 
Et anapata hela nyingi kwa kazi ya dk chache, nani kakwambia, maandalizi kaanza toka utotoni akitaraji kuna siku atapigana na bingwa wa dunia, na ndio anatimiza ndoto yake leo
 
Pesa ambayo amelipwa / atakayolipwa floyd myweather baada ya kushinda kwa point katika pambano lenye utata , katika maamuzi dhidi ya manny pac

1. Ni zaidi ya mishahara ya mchezaji wa barcelona (mess) na mchezaji wa real madrid ( christian ronaldo) zote zichanganywe kwa miezi 5 mfululizo
2. Imevuka bajeti ya visiwa kama comoro, na nchi ya sudan kusini, na somali, na imekaribia kabisa bajeti ya zanzibar ya mwaka
3. Ni sawa na thamani ya mbuga ya mikumi na serengeti
4 . Imevuka bajeti ya wizara ya kazi na ajira, na wizara ya michezo na utamaduni ya tanzania
5. Imevuka na pesa wanayolipwa wabunge la tanzania na hata kenya kwa mda wote watakao fanya vikao hii pamoja na posho

Hii ndio pesa aliolipwa floyd my weather kwa siku moja tu,ya jana, pia atakuwa mwana michezo tajiri kuliko wote duniani

Weka tarakimu mkuu....
Usituletee msg za WhatsApp copy and paste
 
Back
Top Bottom