absolutely irresistible 30mls ni 220,000/=tshs ( hii kwa usa market kwahiyo ipo ghali kidogo, kama unataka ya uk market fragrance ipo inayoitwa very irresistible ya 75mls ni 220,000/=tshs)
flower by kenzo 30mls ni 150,000/=tshs, 50mls ni 260,000/=tshs, na 100mls ni 350,000/=tshs
nb: Tunao uwezo wa kuleta perfume ya aina yeyote ile. Usiwe na shaka. Karibu sana tufanye biashara.
Ni kweli bei zetu zipo juu. Kwasababu tunauza originals only... tunanunua kwenye retails shops za UK ambazo hata Tonny Blair anaweza kuingia na kununua, Hatununui jumla wala kwenye warehouses ama customer returns outlets kama wafanyavyo washindani wetu wengi etc kwasababu tunataka kuhakikisha Mteja anatumia Genuine Brand... Na kwakuwa uhakiki wa counterfreight materials unachukua muda, hatupendi kuhangaika na unreliable souces of supply..asante,but naona bei zenu zipo juu sana...
1 Million Paco Rabanne for Men, vipi kuhusu hiyo mkuu
Mi napenda Issey Miyake (for him)
Issey Miyake (For her)
na Hugo Boss Femme (for her) bei na lini zitapatikana?
Belinda jacob, umeulizia perfums za kiume, unamnunulia Mr?.Je, perfume hizi za kiume mnazo? shs ngapi hata kama mnaleta kwa order?
1. C/Dior Homme Intense 100ml
2. Bleu de Chanel 100ml
3. D&G Light Blue 125ml
Thanks!!
Duh, aisee hiyo perfume uliipataje kwa elf50 wakati manunuzi tu ni 100,000 na ushee... au ilikuwa sample?
Duh, aisee hiyo perfume uliipataje kwa elf50 wakati manunuzi tu ni 100,000 na ushee... au ilikuwa sample?
ndio yenyewe mkuu niliinunua kwenye duka la mama mmoja hivi na mara nyingi hua anauza vipodozi hasa vya kike nadhani bei ilimpiga chenga na inakribia kuishi nitamcheki tena kama anazo..
Hahaha, Mpelekee change yake mkuu, manaake nina uhakika umeitumia zaidi ya miezi sita kama huifanyi air freshener. LoL