PostGE2025 Peramiho: Mtoto wa Jenista atemwa, CCM yamteua DC Komba kugombea

PostGE2025 Peramiho: Mtoto wa Jenista atemwa, CCM yamteua DC Komba kugombea

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Mama yenu anaroho ya kikatili sana kamchukia mama mpaka mtoto wakati yeye mama yenu kajaa tele na mtoto wake na mkwe wake na ndugu kibao ila kaona uyu yatima astahilli kitu ajifie uko na mama yake
Kwenda zako huko wewe. Kwani Yatima wapi wangapi Mitaani? Je wote ni wabunge? Kwani nani kwakwambia vyeo vinagawiwa kama karanga za kuonja? Acha kumchafua Mheshimiwa Rais
 
Kwenda zako huko wewe. Kwani Yatima wapi wangapi Mitaani? Je wote ni wabunge? Kwani nani kwakwambia vyeo vinagawiwa kama karanga za kuonja? Acha kumchafua Mheshimiwa Rais
Wanu anasema Hi
Rizimoko anasema Hi
Jesca anasema Hi
 
Kwenda zako huko wewe. Kwani Yatima wapi wangapi Mitaani? Je wote ni wabunge? Kwani nani kwakwambia vyeo vinagawiwa kama karanga za kuonja? Acha kumchafua Mheshimiwa Rais
Halafu kamati kuu wanateua mbunge watawakilishwa wao!? Wenyejimbo ndo wanajua wanayemtaka halafu unawaletea mtu mwingine ili iweje. Ndo maana hakuna uwajibikaji katika nchi hii, uongozi umekuwa zawadi kwa kwa kikundi cha watu.
 
Kwenda zako huko wewe. Kwani Yatima wapi wangapi Mitaani? Je wote ni wabunge? Kwani nani kwakwambia vyeo vinagawiwa kama karanga za kuonja? Acha kumchafua Mheshimiwa Rais
Lucas kwenye hili usimtetee Samia bana kumweka mwanae naibu waziri shemeji na wakwe zake hapo kakosea sana tuwe wawazi na wakweli , kuhusu maandamano nilimtetea sana kulinda serikali isiangushwe na vibaka, awe kama mzeee mkapa usijaze wanao inaleta chuki , Mchengerwa ni sahihi sana ni bonge ya waziri nilikuwa namkubali sana toka enzi ya awamu ya tano akiwa wizara ya michezo akifanya kazi nzuri mno lakini wanu angeendelea kula mafao ya mama na ya ubunge , sawa sawa na Salma kikwete kihalali hastahili kungangania tena ubunge tayari alishakuwa first lady ana mafao ya kutosha na heshima tele awaachie damu changa walete mambo mapya
 
Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imemteua Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Dkt. Lazaro Komba, kuwa mgombea wa chama hicho katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Peramiho, mkoani Ruvuma.

Uamuzi huo uliotangazwa, Januari 25, 2026, na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenan Kihongosi umekata mzizi wa fitina baada ya Dkt. Komba aliyekuwa mshindi wa tano katika kura za maoni kuaminiwa na chama huku Victor Mhagama aliyekuwa anaongoza akiaachwa.

Soma pia: Mtoto wa Jenista Mhagama ajitosa kumrithi mama yake jimbo la Peramiho

1769411205187.png


Uamuzi huo ulifanyika baada ya kikao cha Kamati Kuu kilichofanyika visiwani Zanzibar na kuongoza na Mwenyekiti wa CCM taifa, Rais Samia Suluhu Hassan.

Victor Mhagama, ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Marehemu Jenista Mhagama, aliongoza kura za maoni kwa kupata kura 3,040, akifuatiwa na Getrude Haule (2,913). Dkt. Komba alipata kura 213 pekee. Hata hivyo, mchakato huo uligubikwa na tuhuma za rushwa na lugha zisizofaa, hali iliyopelekea TAKUKURU kuwahoji baadhi ya watia nia akiwemo Victor.

"Kwa kuzingatia mamlaka iliyopewa chini ya Ibara ya 105 (7)(f) ya Katiba ya CCM ya mwaka 1977 Toleo la Julai 2025, Kamati Kuu imefanya uteuzi Dk Lazaro Komba kuwa mgombea wa CCM kwa ajili ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Peramiho, lililopo Wilaya ya Songea Vijijini," alisema.
 
Dah! Hakuna haki hapo aisee. Imagine aliyepata karibu kura 3000 anajisikiaje?

Hapo ndipo Katiba mpya inapohitajika. Yaani kuna watu wanafikiri wanaweza kufanya tu kama wanavyotaka bila kujali Wananchi wanataka nini.

Hasira za Maza kwa Jennister zinaendelezwa kwa watoto.
 
Asipofanya ziara yeye kama yeye anapata HASARA gani?
Hasara ni wananchi

Sasa kuna faida gani kugombea kuongoza watu ambao huwezi hata kuonana nao?

Muda kama huu JPM alikua kwenye mitaa, hospitalini na bandarini kukagua kero!! Sasa atajificha mpaka lini.
 
Hasara ni wananchi

Sasa kuna faida gani kugombea kuongoza watu ambao huwezi hata kuonana nao?

Muda kama huu JPM alikua kwenye mitaa, hospitalini na bandarini kukagua kero!! Sasa atajificha mpaka lini.
Sijakuelewa Mkuu naomba unifafanulie HASARA ambazo Samia kama Samia atazipata kwa kutokufanya ziara
 
Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) chini ya uenyekiti wa Rais Samia Suluhu Hassan imemteua Mkuu wa Wilaya (DC) wa Kalambo, Dkt. Lazaro Komba kuwa mgombea ubunge wa Peramiho, Mkoa wa Ruvuma.

Uteuzi huo umefanyika Jumapili, Januari 25, 2026 katika kikao kilichofanyika visiwani Zanzibar.

Uchaguzi mdogo wa ubunge wa Peramiho utafanyika Alhamisi ya Februari 26, 2026 ili kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Jenista Mhagama ambaye alifariki dunia Desemba 11,2025, katika Hospitali ya Benjamin Mkaра kwa ugonjwa wa moyo.

Katika kura za maoni ndani ya CCM zilizofanyika Januari 22, 2025, Dkt. Komba alishika nafasi ya tano kati ya watia nia 27 kwa kupata kura 213 kati ya 9,167 zilizopigwa huku Victor Mhagama, mtoto wa Jenista akiongoza kwa kupata kura 3,040.

Wengine na kura zao kwenye mabano ni Getrude Haule (2,913), Dkt. Joseph Mhagama (943), Frank Matola (215), Dkt. Lazaro Kiomba (213), Dkt. Damas Mapunda (200) na Isabellah Mwampamba (131).

Soma Pia: Mtoto wa Jenista Mhagama ajitosa kumrithi mama yake jimbo la Peramiho

Wengine ni Joseph Masikitiko (126), Erasmo Mwingira (124), Allen Mhagama (114), Schoral Ngonyani (84), Lazaro Ndenji(68), Davis Ngonyani(62), Thea Ntara (57), Emil Ngaponda (51), Serafina Mkuwa (48), Clemence Mwinuka (35), Emelian Mbawala (24), Benjamin Kamtawa (23), Prosper Luambano (22), Dominic Mahundi(19), Fredrick Millinga (17), Sixmund Rungu (9), Rose Shawa (7), Rosemary Ngonyani(6), Enoc Moyo (6).

Chanzo: Mwananchi Digital
Wapiga kura walimchagua Victor kwa kutumia moyo badala ya ubongo. Yaani walikuwa wanataka kumlipa fidia kwa kupotelewa na Mama yake lakini sio kwamba alikuwa na uwezo mkubwa kuliko wagombea wengine. Uteuzi wa mwisho ulitumia ubongo badala ya moyo. Victor alianza kupiga kampeni kwenye msiba wa mama yake, hovyo kabisa.
 
Lucas kwenye hili usimtetee Samia bana kumweka mwanae naibu waziri shemeji na wakwe zake hapo kakosea sana tuwe wawazi na wakweli , kuhusu maandamano nilimtetea sana kulinda serikali isiangushwe na vibaka, awe kama mzeee mkapa usijaze wanao inaleta chuki , Mchengerwa ni sahihi sana ni bonge ya waziri nilikuwa namkubali sana toka enzi ya awamu ya tano akiwa wizara ya michezo akifanya kazi nzuri mno lakini wanu angeendelea kula mafao ya mama na ya ubunge , sawa sawa na Salma kikwete kihalali hastahili kungangania tena ubunge tayari alishakuwa first lady ana mafao ya kutosha na heshima tele awaachie damu changa walete mambo mapya
Hata dogo Dully ataingia serikalini, ni suala la muda tu. Miinyi yote Iko serikalini inatafuna cake ya nchi tu.
 
Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) chini ya uenyekiti wa Rais Samia Suluhu Hassan imemteua Mkuu wa Wilaya (DC) wa Kalambo, Dkt. Lazaro Komba kuwa mgombea ubunge wa Peramiho, Mkoa wa Ruvuma.

Uteuzi huo umefanyika Jumapili, Januari 25, 2026 katika kikao kilichofanyika visiwani Zanzibar.

Uchaguzi mdogo wa ubunge wa Peramiho utafanyika Alhamisi ya Februari 26, 2026 ili kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Jenista Mhagama ambaye alifariki dunia Desemba 11,2025, katika Hospitali ya Benjamin Mkaра kwa ugonjwa wa moyo.

Katika kura za maoni ndani ya CCM zilizofanyika Januari 22, 2025, Dkt. Komba alishika nafasi ya tano kati ya watia nia 27 kwa kupata kura 213 kati ya 9,167 zilizopigwa huku Victor Mhagama, mtoto wa Jenista akiongoza kwa kupata kura 3,040.

Wengine na kura zao kwenye mabano ni Getrude Haule (2,913), Dkt. Joseph Mhagama (943), Frank Matola (215), Dkt. Lazaro Kiomba (213), Dkt. Damas Mapunda (200) na Isabellah Mwampamba (131).

Soma Pia: Mtoto wa Jenista Mhagama ajitosa kumrithi mama yake jimbo la Peramiho

Wengine ni Joseph Masikitiko (126), Erasmo Mwingira (124), Allen Mhagama (114), Schoral Ngonyani (84), Lazaro Ndenji(68), Davis Ngonyani(62), Thea Ntara (57), Emil Ngaponda (51), Serafina Mkuwa (48), Clemence Mwinuka (35), Emelian Mbawala (24), Benjamin Kamtawa (23), Prosper Luambano (22), Dominic Mahundi(19), Fredrick Millinga (17), Sixmund Rungu (9), Rose Shawa (7), Ros
Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) chini ya uenyekiti wa Rais Samia Suluhu Hassan imemteua Mkuu wa Wilaya (DC) wa Kalambo, Dkt. Lazaro Komba kuwa mgombea ubunge wa Peramiho, Mkoa wa Ruvuma.

Uteuzi huo umefanyika Jumapili, Januari 25, 2026 katika kikao kilichofanyika visiwani Zanzibar.

Uchaguzi mdogo wa ubunge wa Peramiho utafanyika Alhamisi ya Februari 26, 2026 ili kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Jenista Mhagama ambaye alifariki dunia Desemba 11,2025, katika Hospitali ya Benjamin Mkaра kwa ugonjwa wa moyo.

Katika kura za maoni ndani ya CCM zilizofanyika Januari 22, 2025, Dkt. Komba alishika nafasi ya tano kati ya watia nia 27 kwa kupata kura 213 kati ya 9,167 zilizopigwa huku Victor Mhagama, mtoto wa Jenista akiongoza kwa kupata kura 3,040.

Wengine na kura zao kwenye mabano ni Getrude Haule (2,913), Dkt. Joseph Mhagama (943), Frank Matola (215), Dkt. Lazaro Kiomba (213), Dkt. Damas Mapunda (200) na Isabellah Mwampamba (131).

Soma Pia: Mtoto wa Jenista Mhagama ajitosa kumrithi mama yake jimbo la Peramiho

Wengine ni Joseph Masikitiko (126), Erasmo Mwingira (124), Allen Mhagama (114), Schoral Ngonyani (84), Lazaro Ndenji(68), Davis Ngonyani(62), Thea Ntara (57), Emil Ngaponda (51), Serafina Mkuwa (48), Clemence Mwinuka (35), Emelian Mbawala (24), Benjamin Kamtawa (23), Prosper Luambano (22), Dominic Mahundi(19), Fredrick Millinga (17), Sixmund Rungu (9), Rose Shawa (7), Rosemary Ngonyani(6), Enoc Moyo (6).

Chanzo: Mwananchi Digital
Sa
emary Ngonyani(6), Enoc Moyo (6).

Chanzo: Mwananchi Digital
Sasa
Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) chini ya uenyekiti wa Rais Samia Suluhu Hassan imemteua Mkuu wa Wilaya (DC) wa Kalambo, Dkt. Lazaro Komba kuwa mgombea ubunge wa Peramiho, Mkoa wa Ruvuma.

Uteuzi huo umefanyika Jumapili, Januari 25, 2026 katika kikao kilichofanyika visiwani Zanzibar.

Uchaguzi mdogo wa ubunge wa Peramiho utafanyika Alhamisi ya Februari 26, 2026 ili kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Jenista Mhagama ambaye alifariki dunia Desemba 11,2025, katika Hospitali ya Benjamin Mkaра kwa ugonjwa wa moyo.

Katika kura za maoni ndani ya CCM zilizofanyika Januari 22, 2025, Dkt. Komba alishika nafasi ya tano kati ya watia nia 27 kwa kupata kura 213 kati ya 9,167 zilizopigwa huku Victor Mhagama, mtoto wa Jenista akiongoza kwa kupata kura 3,040.

Wengine na kura zao kwenye mabano ni Getrude Haule (2,913), Dkt. Joseph Mhagama (943), Frank Matola (215), Dkt. Lazaro Kiomba (213), Dkt. Damas Mapunda (200) na Isabellah Mwampamba (131).

Soma Pia: Mtoto wa Jenista Mhagama ajitosa kumrithi mama yake jimbo la Peramiho

Wengine ni Joseph Masikitiko (126), Erasmo Mwingira (124), Allen Mhagama (114), Schoral Ngonyani (84), Lazaro Ndenji(68), Davis Ngonyani(62), Thea Ntara (57), Emil Ngaponda (51), Serafina Mkuwa (48), Clemence Mwinuka (35), Emelian Mbawala (24), Benjamin Kamtawa (23), Prosper Luambano (22), Dominic Mahundi(19), Fredrick Millinga (17), Sixmund Rungu (9), Rose Shawa (7), Rosemary Ngonyani(6), Enoc Moyo (6).

Chanzo: Mwananchi Digital
Samila kamdhulumu hadi mtoto yatima....wa kwake...wamo
 
Back
Top Bottom