Peramiho Hawataki Mzaha. Cheki Walichokifanya

Peramiho Hawataki Mzaha. Cheki Walichokifanya

amilyroley

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2015
Posts
621
Reaction score
1,200
Jamaa wameshachafuka nafsi. Hawataki utani tena. Angalia walichokifanya
 

Attachments

  • 1443860378611.jpg
    1443860378611.jpg
    24.8 KB · Views: 2,543
Safi sana na mitishrt yao iyo wanaigawa bure jana nilicheka sana manyoni walikuwaa wanagawa matishirt bure akina mama wakawa wanakimbilia wanaimba wanaenda chukua madekio majamaa kusikia ivo wakavunga et wanauza tshirt elfu 10 teh teh teh wapeni madekio jamani mbona mnakuwa ivoo
 
mh,magufuli hajui kuwa watanzania wako gizani pesa za escrow zingetosha kama sio kumaliza hali hii uchumi wa mtu mmoja mmoja unaporomoka huku maisha yakizidi kuwa magumu ,kifimbo hoye .kofia hoyee,nikitoka hapa naenda kupiga push up zangu kumi pengine matatizo yatapungua, udumu ukawa ulipo tupo tutashinda
 
Back
Top Bottom