Peramiho Hawataki Mzaha. Cheki Walichokifanya

Peramiho Hawataki Mzaha. Cheki Walichokifanya

Kwaani kujua kwamba iliyotufkisha hapa ni ccm inahitaji uwe na degree?na ndo maana wanatumia nguvu nyingi kujitangaza ktk vyombo vya habari
 
Hii haizuii ccm kushinda uchaguzi huu.. ccm itashinda kwa zaid ya 70%
 
ccm HOIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII……
Hoiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii……
 
UKAWA tusaidiane kucheka
 

Attachments

  • 1443865985013.jpg
    1443865985013.jpg
    30.1 KB · Views: 456
Sasa kama mmediliki kuyafanya haya mkiwa hamna serikali jee, tukiwakabidhi nchi hv wanaccm watakua salama kweli?
 
Safi sana na mitishrt yao iyo wanaigawa bure jana nilicheka sana manyoni walikuwaa wanagawa matishirt bure akina mama wakawa wanakimbilia wanaimba wanaenda chukua madekio majamaa kusikia ivo wakavunga et wanauza tshirt elfu 10 teh teh teh wapeni madekio jamani mbona mnakuwa ivoo

Mkuu utanivunja mbavu, eti ngoja tukachukue madekio?
 
Nielewesheni kwani tuliambiwa Jenesta hana upinzani....
 
Siku hazigandi. Final ni 26/10 jua liwake au lisiwake watu watasaga meno kwa kutoamini kitachotokea. Siku hiyo hatutaangalia tena picha za nyomi! #Hapakazitu.
 
Back
Top Bottom