Pepoo! pepoo! tokaaa!

Pepoo! pepoo! tokaaa!

mwahaja

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2013
Posts
391
Reaction score
105
Jamani mwenzenu naingiliwa na mke wa mtu hapa muda huu,anasukuma mlango wangu anataka aje kwangu et kulala kisa kakorofishana na mumewe.

Kanipigia simu mara tatu sijapokea,pia katuma na texts.Me SITAKI,Ooooh! Mungu nisaidie.

Ukitaka ushahidi PM me nitakutumia hata text,kwel tembea uone.......................
 
Jamani mwenzenu naingiliwa na mke wa mtu hapa muda huu,anasukuma mlango wangu anataka aje kwangu et kulala kisa kakorofishana na mumewe.

Kanipigia simu mara tatu sijapokea,pia katuma na texts.Me SITAKI,Ooooh! Mungu nisaidie.

Ukitaka ushahidi PM me nitakutumia hata text,kwel tembea uone.......................

Kubali uone mke wa mtu alivyo sumu
 
wewe na yeye mna kwa umbali gani au mko mtaa mmoja?kama yy yupo tegeta ww upo mbagala jilie tu!
 
Nimekuja mbio nikijua kutakuwa kuna bonge la skendo humu kumbe ishu yenyewe ndo hii .NGOJA NIPITE TU ila INABOA KWELI
 
Pepo hili unalikaribisha mwenyewe sasa usipoangalia kiti atahusika hapa hahahahaha
 
kuna dalili za kushikishwa ukuta aisee... dalili za mvua ni mawingu anza mazoezi
 
Mkuu isije kuwa uliwahi pita au naweza sema mchepuko wako.

Mbali ya yote, nakupa pole sana kwa adharusi inayoloendelea.

Ikiwezekana wewe jaribu kuwa jirani mwema nenda kwa mumewe urudishe amani
 
Jamani mwenzenu naingiliwa na mke wa mtu hapa muda huu,anasukuma mlango wangu anataka aje kwangu et kulala kisa kakorofishana na mumewe.

Kanipigia simu mara tatu sijapokea,pia katuma na texts.Me SITAKI,Ooooh! Mungu nisaidie.

Ukitaka ushahidi PM me nitakutumia hata text,kwel tembea uone.......................

kwenye hiyo mambo huwa hawakemei mkuu solution yake ni kukimbia! ndo maana biblia imeandika ikimbieni zinaa. na yusufu alikimbia kwa mke wa potifa. yani usipokimbia kesho utasema jamani mke wa mtu amenilazimisha nikafanya!!
 
hawa ni wa ukweli au wakuchorwa?
haiwezekani wamzidi meson-gang.

Eti nini,wa kuchora! nani kakudanganya, ikiwa bado haujaweza kutafuna vitu kama hivyo nakupa pole.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom