Kabisa.kanifunza kitu.Bro una nondo sio poaaaa!!
Santo sana
Yani haya mambo yote sijui anajifunziaga wapi yuko vizuri mnoo!Kabisa.kanifunza kitu.
Pepo ni roho yenye nguvu sana! Kulitoa ni kazi kubwa sana,kuna waliofanikiwa kwa kuogea chumviJe ilo pepo la punyeto utalifukuzaje mkuu?
Punyeto ni roho au jini?Pepo ni roho yenye nguvu sana! Kulitoa ni kazi kubwa sana,kuna waliofanikiwa kwa kuogea chumvi
Sent using Jamii Forums mobile app
So njia pekee ya kufukuza roho ya punyeto ni kwa kutumia chumvi tu.?
Pengine zipo nyingine ila mimi najua hiyoSo njia pekee ya kufukuza roho ya punyeto ni kwa kutumia chumvi tu.?