marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 968
- 1,694
- Thread starter
- #101
Pepsi ni kanjanja
Huna hoja ndugu. Mourinho alirudi chelsea akaishia kufukuzwa je si mmoja wa makocha bora?Arudi akaifundishe Barcelona na kuisuka upya.
Aliekuwa akimfichia aibu (Messi) keshaanza kuzeeka. Xavi hayupo. Iniesta hayupo.
Kila mmoja ana makombe mangapi mpaka sasa tangu waanze kufundisha?Pepsi ni kanjanja View attachment 1500355
je unajua arsenal imepoteza mechi chache kuliko man city msimu huu.Pepsi ni kanjanja View attachment 1500355
Hoja iliyopo ni kwamba Pepsi ni kocha uchwara ,, masuala ya mou tumuachie mouHuna hoja ndugu. Mourinho alirudi chelsea akaishia kufukuzwa je si mmoja wa makocha bora?
Pepsi sio kochaje unajua arsenal imepoteza mechi chache kuliko man city msimu huu.
si ni juzi tu kidogo amuue klop na vijakazi wake🤣🤣🤣umesahau tayariPepsi sio kocha
Ubora wa kocha ni mafinikio ya kuchukua makombe, huyo kocha uchwara ana makombe mangapi na wale ambao sio uchwara wana mangapi?Hoja iliyopo ni kwamba Pepsi ni kocha uchwara ,, masuala ya mou tumuachie mou
Wewe mwenye hoja, mwambie Pep arudi akaisuke upya Barca ndio utajua kama yeye ni kocha ama anajificha kwenye utajiri wa clubHuna hoja ndugu. Mourinho alirudi chelsea akaishia kufukuzwa je si mmoja wa makocha bora?
Kwa mtaji huo basi kocha wa Glasgow Celtics ndio kkocha bora kwa kuwa kila mwaka anabeba vikombe 6Ubora wa kocha ni mafinikio ya kuchukua makombe, huyo kocha uchwara ana makombe mangapi na wale ambao sio uchwara wana mangapi?
Ni kocha yupi ambae unajua ni bora akirudi timu yake ya awali una uhakika atapata mafinikio kama awali?Wewe mwenye hoja, mwambie Pep arudi akaisuke upya Barca ndio utajua kama yeye ni kocha ama anajificha kwenye utajiri wa club
Makombe ya ligi kubwa ndugu na yale ya uefa champions. Huwezi kuwa kocha bora kama hujapata mafanikio kwenye ligi kubwa au uefa champions.Kwa mtaji huo basi kocha wa Glasgow Celtics ndio kkocha bora kwa kuwa kila mwaka anabeba vikombe 6
Pep ana makombe mangapi ya Uefa Champions League?Makombe ya ligi kubwa ndugu na yale ya uefa champions. Huwezi kuwa kocha bora kama hujapata mafanikio kwenye ligi kubwa au uefa champions.
MawiliPep ana makombe mangapi ya Uefa Champions League?
Huyo klop akirudi pale BVB atawashusha darajaWewe mwenye hoja, mwambie Pep arudi akaisuke upya Barca ndio utajua kama yeye ni kocha ama anajificha kwenye utajiri wa club
Usikimbie hoja. Sijamwongelea Klop hapa. Tunamjadili Pepsi. Kama unataka kumjadili Klopp kafungue uzi mpyaHuyo klop akirudi pale BVB atawashusha daraja
ndio yamkumfanya kuwa kocha bora? Hata Maurinho si anayo mawili, Zidane matatu na Ancelotti matatuMawili
Baada ya kuondoka barca tuambie lin pep kafany cha maaana UEFA ?Makombe ya ligi kubwa ndugu na yale ya uefa champions. Huwezi kuwa kocha bora kama hujapata mafanikio kwenye ligi kubwa au uefa champions.
Hajafanya chochote cha maana though kafundisha Bayern yenye wachezaji lukuki wenye vipaji vikubwa,kuna harufu naihisi hapa kuwa kweli mafanikio ya Pep yalichagizwa na kikosi bora kilichoongozwa na utatu mtakatifu Messi,Iniesta na XaviBaada ya kuondoka barca tuambie lin pep kafany cha maaana UEFA ?
Kiujumla ndugu kuanzia ligi , uefa na mengine pep anayo mengi zaidi. Kwa hiyo ni kocha bora zaidi ya hao akina klop, mo, zidane, ancelotti n.k.ndio yamkumfanya kuwa kocha bora? Hata Maurinho si anayo mawili, Zidane matatu na Ancelotti matatu