Pep Guardiola ni kocha wa kawaida sana

Pepsi ni kanjanja
IMG-20200707-WA0230.jpg
 
Baada ya kuondoka barca tuambie lin pep kafany cha maaana UEFA ?
Hajafanya chochote cha maana though kafundisha Bayern yenye wachezaji lukuki wenye vipaji vikubwa,kuna harufu naihisi hapa kuwa kweli mafanikio ya Pep yalichagizwa na kikosi bora kilichoongozwa na utatu mtakatifu Messi,Iniesta na Xavi
 
Back
Top Bottom