Hmaster
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 346
- 86
Yaani we acha tu. Mtu unamgegeda mkeo kwa raha zote, tena wala huvai mananihino kunako eti kuongopa ngoma wala nini.
Yaani ni kutafuna tu pekupeku tena bila wasiwasi wowote ule.
Hata ukichunwa na mkeo wala huoni ubaya wake kwa vile anaendelea tu kustawisha mwili wake kwa ajili yako daima.
Jamani nyie msiooa tafadhalini sana njooni kwa pande hizi muenjoy mpaka basi.
Karibuni sana.
Yaani ni kutafuna tu pekupeku tena bila wasiwasi wowote ule.
Hata ukichunwa na mkeo wala huoni ubaya wake kwa vile anaendelea tu kustawisha mwili wake kwa ajili yako daima.
Jamani nyie msiooa tafadhalini sana njooni kwa pande hizi muenjoy mpaka basi.
Karibuni sana.