- Thread starter
- #61
Daaaaaah ngoja niache wivu kwa huyu mdada meanwhile najitoa kidogo kidogo sababu ni kweli nakubali nilimpenda, wacha nitoke kwenye penzi la wivu nibaki kwenye penzi la ridhaaaa huku nikitafuta kuwa free for all, kwni kuacha nako itakuwa ni processUngetulia tu umkule ukimchoka utamwacha.Mapenz yasiyo ya kudumu hutakiwi kuwa na wivu nayo