Kalaga baho
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 5,416
- 11,133
Kwa nn umelianzisha tena!?? Ulikuw unatak kuvunja tena ulichokivunja ukakijenga tena!?
Nakushauri tu Toa penzi weka akili simple tuWandugu kama kawaida si rahisi kuishi bila kuwa katika mapenzi, nimekuwa katika mikiki ya mapenzi kwa muda sasa. Story iko hivi nilikuwa na urafiki wa kawaida na dada mmoja hapa ofisini, uhusiano ambao sikutegemea kama ipo siku utabadilika kuwa penzi. Katika kuishi na huyu dada nik
Muache alieanza wew hapo unavuruga mapenz ya watu! Na kama kachiti na wew kwa bos wako atachit n haus boi huyo... Tafuta bikira JokajeusiWazee mkumbuke mimi nimekuta mdada ana mahusiano tayari , Boss alianza mimi nakaja nyuma!!!! na nilikuwa nimeambiwa b4 sasa nataka abaki mmoja ama mimi au Boss ndo maana nimetoa muda achague kwakuwa nilikuwa najuwa picha lote! ningekuwa nimeanza mimi wala kulikuwa hakuna mjadala!!
Kwa hiyo wewe unataka boss aachwe???? Hivi mzima kweli kichwani humoo??? Mkifukuzwa kazo wote kwa kuundiwa zengo utaweza kumhudumia huyo binti au kumtafutia ajira nyingine...???Wazee mkumbuke mimi nimekuta mdada ana mahusiano tayari , Boss alianza mimi nakaja nyuma!!!! na nilikuwa nimeambiwa b4 sasa nataka abaki mmoja ama mimi au Boss ndo maana nimetoa muda achague kwakuwa nilikuwa najuwa picha lote! ningekuwa nimeanza mimi wala kulikuwa hakuna mjadala!!
Hapo njia ni moja tuu kaka. Kuwa na hela nyingi kuliko boss basi. Zaidi ya hapo wee kula mbususu usitake keweka kambi hapo. Dah jamaa umepata bahati yaani demu anakuletea mbususu na anakuwa muwazi kiasi hicho wee unataka leta mapenzi ya kihindi🤣🤣🤣🤣🤣Wandugu kama kawaida si rahisi kuishi bila kuwa katika mapenzi, nimekuwa katika mikiki ya mapenzi kwa muda sasa. Story iko hivi nilikuwa na urafiki wa kawaida na dada mmoja hapa ofisini, uhusiano ambao sikutegemea kama ipo siku utabadilika kuwa penzi. Katika kuishi na huyu dada
Umegonga mule mule kakaKwa hiyo wewe unataka boss aachwe???? Hivi mzima kweli kichwani humoo??? Mkifukuzwa kazo wote kwa kuundiwa zengo utaweza kumhudumia huyo binti au kumtafutia ajira nyingine...???
Kulaa vyako na boss ale vyake.. Mengina hayakuhusuu ukitaka wa peke ako tafuta mwingine ambapo utakuwa unashare na jamaa ambae humjui hiyo ndo itakuwa tofauti.
Nimeshangaa sana mwanaume wa hivi sijui ni matatizo ya akili Me nyie demu akisema tukulane kama hivyoo ndo vizuri hakuna plan wala future dadeki.. Boss anatoa huduma tena ntamwambia awe mtiifu sana kwa boss.. Yani nataka nipate demu ambae mnakulana bhasi no plan.Hapo njia ni moja tuu kaka. Kuwa na hela nyingi kuliko boss basi. Zaidi ya hapo wee kula mbususu usitake keweka kambi hapo. Dah jamaa umepata bahati yaani demu anakuletea mbususu na anakuwa muwazi kiasi hicho wee unataka leta mapenzi ya kihindi
Jamaa anachezea bahati huyu. Tena ata akiwa na wewe alafu bosinanapiga simu una muamrisha apokee simu fasta kabisa.Nimeshangaa sana mwanaume wa hivi sijui ni matatizo ya akili Me nyie demu akisema tukulane kama hivyoo ndo vizuri hakuna plan wala future dadeki.. Boss anatoa huduma tena ntamwambia awe mtiifu sana kwa boss.. Yani nataka nipate demu ambae mnakulana bhasi no plan.
Mkuu acha tu sijui anakwama wapi huyu jamaaa.. I wish atuelewe yani.Jamaa anachezea bahati huyu. Tena ata akiwa na wewe alafu bosinanapiga simu una muamrisha apokee simu fasta kabisa.
Unachofanya wewe ni kula mbususu tuu.
Unasema ulimkuta boss ukaja nyuma, Sasa Kama boss bado anakula wewe unamtaka ya nini? Na inakuaje unakuwa na mtu na wewe mwenyewe unajua analiwa na mwingine bado unahangaika ,ni uboya unajua anatembea na boss na anashindwaa kuamua we bado upo Kama rubaWazee mkumbuke mimi nimekuta mdada ana mahusiano tayari , Boss alianza mimi nakaja nyuma!!!! na nilikuwa nimeambiwa b4 sasa nataka abaki mmoja ama mimi au Boss ndo maana nimetoa muda achague kwakuwa nilikuwa najuwa picha lote! ningekuwa nimeanza mimi wala kulikuwa hakuna mjadala!!
Sasa unataka kuambiwa nini au akudanganye ameachana nae afu anatoa mbunye kama kawaWazee mkumbuke mimi nimekuta mdada ana mahusiano tayari , Boss alianza mimi nakaja nyuma!!!! na nilikuwa nimeambiwa b4 sasa nataka abaki mmoja ama mimi au Boss ndo maana nimetoa muda achague kwakuwa nilikuwa najuwa picha lote! ningekuwa nimeanza mimi wala kulikuwa hakuna mjadala!!
Yeah unachosema ni kweli, na hata last week tulizungumzia hilo suala alichodai hana sababu ya kumweleza mkuu, ila nimpe muda afanye timing na jambo liwe mwisho, alternatively nikaweka option ya kujitoa kwani naona hakuna haja ya kutembea na sisi wote wawili, kwa kweli aliomba nisimwache itamvuruga akili sana na itamfanya ajute, kwa hiyo hilo ndo picha kamili. Kwa upande wangu nimeshajipanga kuanza maisha upya kwan hata mzuka nimepunguza sana , kama hataweza basi mi nasepa mchana kweupe!!!!!!!!we nae hebu jiongeze,sisi wanawake tuko hivi, mwanamke akipenda kila kitu anafanya automatically yani anakuwa kama kapewa limbwata, hujaita anaitika, sasa basi ungekuwa wa muhimu kiasi hicho angeshamuacha huyo boss wenu kitambo sana bila hata kuambiwa na mtu, tena kipindi kile kile cha mwanzo kabisa ambacho ulimpa hiyo condition mwisho wa siku ukaamua kujitoa wewe mwenyewe, na hata sasa usitegemee cha tofauti, huo mstari wa mwisho labda ujiongelee wewe ndie unaeumi, mwenzio wala hana shida kama bado unamtaka stay and share hutaki let her go, she is fine.
huyo boss wenu ana mke?Yeah unachosema ni kweli, na hata last week tulizungumzia hilo suala alichodai hana sababu ya kumweleza mkuu, ila nimpe muda afanye timing na jambo liwe mwisho, alternatively nikaweka option ya kujitoa kwani naona hakuna haja ya kutembea na sisi wote wawili, kwa kweli aliomba nisimwache itamvuruga akili sana na itamfanya ajute, kwa hiyo hilo ndo picha kamili. Kwa upande wangu nimeshajipanga kuanza maisha upya kwan hata mzuka nimepunguza sana , kama hataweza basi mi nasepa mchana kweupe!!!!!!!!
Yes ana mke na watoto watatu, hata dada nae ana mume!huyo boss wenu ana mke?