Penzi lake la mikosi kwangu

Penzi lake la mikosi kwangu

Jamanii wana jamii naomben ushaur wenu nina mpenz wangu ambaye nimedumu nae katika mahusiano nae kimapenzi kwa muda wa zaidi ya miaka 5,pindi tunaanza mahusiano yeye ndo alinitaka mimi kimapenz ila mimi nilikuwa na lengo moja tuu la kusex nayeye kisha nimuache kwa kuwa sikumpenda kwa dhati toka moyon mwangu,lakin baada ya kusex tuu basi akawa ananiganda sana kiasi kwamba nikawa nashidwa kumu escape maana alikuwa ananipa vitu mbalimbali kama fedha na kadhalika,kwakuwa nilikuwa sina kipato chochote basi nikajikuta na endelea kuwa nayeye kimapenz kwa muda wa zaidi ya miaka 5 lakini kinacho nishinda kwa mwanamke uyu,kila napofanya nayesex napata mikosi tuu ya kimaisha.Ndugu zangu naomben ushaur wenu nifanyeje nimechoka na mikosi nayoipata kutokana na penz la uyo mwanamke?

Looohhhhh hata aibu huoni ? Yani mkuu chazo kikuu cha mikosi ni WEWE MWENYEWE . Tena Nampa pole nyingi huyo dada. Unajiona matawiii eti "sikumpenda kwa dhati" afu "ananipa vitu" hadi hapo fikiria ni majanga na mikosi gani umemsababishia mwenzio - bila aibu wala soni five good years? hebu kadanganye watoto wenzio kabla hujatuletea JF mikosi maana wanaume kama nyie mnadhalilisha na kuleta mikosi kwenye jamii
 
boraa umempa wazo hilo maan unawezaje kuwa na mtu miaka mitano hampendi eti anamganda watu kwa ujiko ivi haumpendi mtu hata mboo inasimama kweli mmh uswahilini kuna mambo chaaa!!!!

Lada anaisimamisha kwa p.o.p make haya mambo nayo mmmh
 
Miaka mitano mikosi yote umeweza kuivumilia, leo imekuaje?

Hamna mkosi hapo.... ushapenda kwengine na umeanza kujitegemea so unatafuta sababu.... maana umesema kuanzia mwanzo ulikuwa haumpend ila fedha na viji zawad vimekufanya ugande nae
 
Hayo mambo yapo sana, ila kitu ambacho wanaume na hata wanawake inabidi tubadilike ni kudumu kwenye mahusiano kipindi kirefu..huku ukijua hakika humpendi mwenzi wako..ila nalo huleta hio mikosi kwenye maisha..coz mungu wetu mtoa ridhiki ndiye aonaye hadi sirini..hivyo let's change our attitude na tufanye toba ya kweli
 
Eti mikosi anayopata ni kuwa, hawezi kutafuta hela zake mwenyewe zaidi ya kupewa tu....kaning'oneza hapa:spy::spy:
 
Kama ni kweli umejiridhisha na utafiti wako kuwa ni kweli anakuletea mikosi,mbona rahisi sana,muache!...naamin pia kuana watu unaweza fanya nao mapenzi ikawa laana,wengine ikawa baraka!
 
Jamani wana jamii naombeni ushauri wenu,

Nina mpenzi wangu ambaye nimedumu nae katika mahusiano nae kimapenzi kwa muda wa zaidi ya miaka 5, pindi tunaanza mahusiano yeye ndo alinitaka mimi kimapenzi ila mimi nilikuwa na lengo moja tu la kusex na yeye kisha nimuache kwa kuwa sikumpenda kwa dhati toka moyoni mwangu.

Lakini baada ya kusex tuu basi akawa ananiganda sana kiasi kwamba nikawa nashidwa kumu escape maana alikuwa ananipa vitu mbalimbali kama fedha na kadhalika, kwakuwa nilikuwa sina kipato chochote basi nikajikuta na endelea kuwa nayeye kimapenzi kwa muda wa zaidi ya miaka 5 lakini kinachonishinda kwa mwanamke huyu,kila napofanya naye sex napata mikosi tuu ya kimaisha.

Ndugu zangu naombeni ushauri wenu nifanyeje nimechoka na mikosi nayoipata kutokana na penzi la uyo mwanamke?
Saali saana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom