Penzi lake la mikosi kwangu

Penzi lake la mikosi kwangu

Nimekwambia hivyo mimi mwenyewe nilishawahi kuwa na mwanamke wakati nimeanza nae kila siku mambo yangu yanaharibika nikiachana nae mambo yangu yanarudi vizuri na ninapata sana hela lakini nikimrudia tu lazima nipate majanga kwa mfano ajali za magari dili zangu za hela zinabuma maisha yanabadilika. nimeshaachana nae na kurudiana nae zaidi ya mara 20 na matokeo ni hayo hayo niliyosema. hii kitu ipo na ninaamini inasababishwa na wanawake kwenda kwa waganga na madawa wayayowawekea waume zao. hapa nilipo sasa hivi sina mke naishi vizuri sina shida hata kidogo wala stress za kijinga. wanawake wa ukweli ni wachache sana kuliko idadi yetu wanaume
 
Mambo yangu ya kimaisha yanakuwa hayaend kabisa naweza nikapanga dili na mtu lakini nikisex nae tuu ile dili inaweza ikabuma

Iko hivi; since umezoea kupewa hela na vitu vingine, kuna uwezekano mkubwa sana huweki juhudi za kutosha kwenye hizo deals. So, mkosi hapa ni mentality yako.
 
Nimekwambia hivyo mimi mwenyewe nilishawahi kuwa na mwanamke wakati nimeanza nae kila siku mambo yangu yanaharibika nikiachana nae mambo yangu yanarudi vizuri na ninapata sana hela lakini nikimrudia tu lazima nipate majanga kwa mfano ajali za magari dili zangu za hela zinabuma maisha yanabadilika. nimeshaachana nae na kurudiana nae zaidi ya mara 20 na matokeo ni hayo hayo niliyosema. hii kitu ipo na ninaamini inasababishwa na wanawake kwenda kwa waganga na madawa wayayowawekea waume zao. hapa nilipo sasa hivi sina mke naishi vizuri sina shida hata kidogo wala stress za kijinga. wanawake wa ukweli ni wachache sana kuliko idadi yetu wanaume

Kumbe we ni kama mimi yani ndani ya iyo zaidi ya miaka mitano ni tunagombana tunaachana tena tunaludiana,lakini majanga yangu ndo kama ivyo mikosi na mabalaa tuu,najalibu kumuacha moja kwa moja lakini nashidwa sa nahis mazoea yananipa tabu
 
Iko hivi; since umezoea kupewa hela na vitu vingine, kuna uwezekano mkubwa sana huweki juhudi za kutosha kwenye hizo deals. So, mkosi hapa ni mentality yako.

Kiongoz nimekuwa mvumilivu kwa muda sanaa nikikaa na kusema labda kuna siku mambo yatachange lakini hakuna jipya na pia mi ni msilu sanaaaa mpaka kufunguka na kuongea iv basi ujuwe mambo yamenifika kooni
 
Kiongoz nimekuwa mvumilivu kwa muda sanaa nikikaa na kusema labda kuna siku mambo yatachange lakini hakuna jipya na pia mi ni msilu sanaaaa mpaka kufunguka na kuongea iv basi ujuwe mambo yamenifika kooni

Ila Chief, you're being unfair. She quenches your thirst. Pay and spoil you on top of it. Halafu leo 5 years later unasema anakutia mikosi? C'mon man.
 
Huwez ukaish kwa kutegemea mwanamke ndo aku finance ndugu yangu kwa wanaume tunao elewa nini maana ya ulijali ni lazima utegemee jasho lako

oooh kumbe urijali nilazima utegemee jasho lako sasa kwanini unakubali hela yake?
 
Kwani wewe katika maisha yako hujawai kusaidiwa unapokwama?
 
mmmmhh umelelewa miaka 5 leo unaona mikosi..........mwache dada wa watu kwa fadhila alizokupatia na sio kwa dharau.............unamng'ang'ania kwa vile huna pakutokea
 
Una shida ya kiroho ndugu, ungesema dini yako na yake; pia aina ya mikosi unayopata ingesaidia kukuelewa.
 
Una shida ya kiroho ndugu, ungesema dini yako na yake; pia aina ya mikosi unayopata ingesaidia kukuelewa.

Dini yangu ni mkristo wa roman catholic ata mwenzangu ivyo ivyo pia lakin yeye kwenda kanisani ni ndoto kwake, mikosi ya kiliziki tuu
 
Jamanii wana jamii naomben ushaur wenu nina mpenz wangu ambaye nimedumu nae katika mahusiano nae kimapenzi kwa muda wa zaidi ya miaka 5,pindi tunaanza mahusiano yeye ndo alinitaka mimi kimapenz ila mimi nilikuwa na lengo moja tuu la kusex nayeye kisha nimuache kwa kuwa sikumpenda kwa dhati toka moyon mwangu,lakin baada ya kusex tuu basi akawa ananiganda sana kiasi kwamba nikawa nashidwa kumu escape maana alikuwa ananipa vitu mbalimbali kama fedha na kadhalika,kwakuwa nilikuwa sina kipato chochote basi nikajikuta na endelea kuwa nayeye kimapenz kwa muda wa zaidi ya miaka 5 lakini kinacho nishinda kwa mwanamke uyu,kila napofanya nayesex napata mikosi tuu ya kimaisha.Ndugu zangu naomben ushaur wenu nifanyeje nimechoka na mikosi nayoipata kutokana na penz la uyo mwanamke?

Mmmmh!!!! isikute we ndo mwenye mkosi. coz hujaeleza ni mikosi gani unapata
 
Peleka kuku kwa mganga na ukachanjwe.... Pole sana
boraa umempa wazo hilo maan unawezaje kuwa na mtu miaka mitano hampendi eti anamganda watu kwa ujiko ivi haumpendi mtu hata mboo inasimama kweli mmh uswahilini kuna mambo chaaa!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom