Nikisema, mnasema mwanamalundi anachonga sana. Embu oneni wenyewe sasa huyu jamaa ndio amenzisha mada gani hapa? Sasa kuna kitu gani cha kujifunza hapa. After all, this is your private business. Hayatuhusu.
So what?mimi ni kijana ambaye nimeoa mwaka jana;bahati mbaya mke wangu ni mkorofi ajabu tena hana nidhamu; tunaishi na shemeji yangu mdogo wake na mke wangu; kiukweli ni mkarimu na mwenye nidhamu; juzi aliniomba tukutane Kebbys hotel baada ya muda wa kazi ili tuzungumze tabia ya dada yake; yeye pia ni mwajiriwa; kiukweli baada ya mazungumzo marefu niliamua kupunguza stress kwa kufanya nae mapenzi;na ilikuwa nzuri maana huzuni na mawazo yote yameisha; nashiwishika kuendelea na mahusiano na shemeji yangu
mimi ni kijana ambaye nimeoa mwaka jana;bahati mbaya mke wangu ni mkorofi ajabu tena hana nidhamu; tunaishi na shemeji yangu mdogo wake na mke wangu; kiukweli ni mkarimu na mwenye nidhamu; juzi aliniomba tukutane Kebbys hotel baada ya muda wa kazi ili tuzungumze tabia ya dada yake; yeye pia ni mwajiriwa; kiukweli baada ya mazungumzo marefu niliamua kupunguza stress kwa kufanya nae mapenzi;na ilikuwa nzuri maana huzuni na mawazo yote yameisha; nashiwishika kuendelea na mahusiano na shemeji yangu
Kaunga kwani ni me au ke??
Mmmh
mimi ni kijana ambaye nimeoa mwaka jana;bahati mbaya mke wangu ni mkorofi ajabu tena hana nidhamu; tunaishi na shemeji yangu mdogo wake na mke wangu; kiukweli ni mkarimu na mwenye nidhamu; juzi aliniomba tukutane Kebbys hotel baada ya muda wa kazi ili tuzungumze tabia ya dada yake; yeye pia ni mwajiriwa; kiukweli baada ya mazungumzo marefu niliamua kupunguza stress kwa kufanya nae mapenzi;na ilikuwa nzuri maana huzuni na mawazo yote yameisha; nashiwishika kuendelea na mahusiano na shemeji yangu
Kaunga kwani ni me au ke??
Mmmh
I am not criticizing/criticising anyone here. My role is very simple. Kukemea hoja dhaifu. Inatakiwa memba wanapotoa michango iwe na hoja za msingi. Tunataka kurudisha heshima ya JF.
jerrytz UNATAKA HAO NDUGU WAUWANE, MAANA SIKU DADA MTU AKIJAGUNDUA PATACHIMBIKA HOME. UMENIKUMBUSHA KISA CHA DADA MMOJA ALIKUWA ANAFANYA KAZI BENKI YA POSTA, ALIKUWA ANATEMBEA NA MUME WA DADA YAKE HUKO MORO NA AKAFANYWA KAMA SMALL HOUSE, ALIPOHAMIA HAPA DAR HUYO DADA AKAPATA MCHUMBA NAYE AKAOLEWA, NA YEYE MUNGU AKAMLIPIZIA , RAFIKIE KIPENZI AKAWA ANATEMBEA NA MUMEWE , ALIPOPATA TAARIFA AKAENDA KUFUMANIA HUGO HOUSE PALE, NDIPO KIFO CHAKE KILIPOTIMIA BAADA YA KUBAMIZWA KWENYE KABINETI AKAPASUKA KICHWA.
Uso nidhamu na adabu ni wewe na huyo shemeji yako
mimi ni kijana ambaye nimeoa mwaka jana;bahati mbaya mke wangu ni mkorofi ajabu tena hana nidhamu; tunaishi na shemeji yangu mdogo wake na mke wangu; kiukweli ni mkarimu na mwenye nidhamu; juzi aliniomba tukutane Kebbys hotel baada ya muda wa kazi ili tuzungumze tabia ya dada yake; yeye pia ni mwajiriwa; kiukweli baada ya mazungumzo marefu niliamua kupunguza stress kwa kufanya nae mapenzi;na ilikuwa nzuri maana huzuni na mawazo yote yameisha; nashiwishika kuendelea na mahusiano na shemeji yangu
nayajua yote hayo kuwa sina nidhamu;ni vyema unishari badala ya kulaumu ndugu