"PENZI LA SHEMEJI"

Keyzer Soze

Member
Dec 30, 2016
27
22
PENZI LA SHEMEJI
sehem ya 1

" Naomba umsindikize shemeji yako tafadhali Jun"
alinambia kaka
" Haina tatizo kaka" nikamjibu kaka
Niliingia chumbani na kuwaza sana namna nitakavyofanya
ili nisijikute kwenye vishawishi ambavyo nimekuwa
nikivipata kutoka kwa shemeji yangu yule.
Baada ya kujiandaa nikaondoka na kwenda kuchukua
funguo kwa kaka kisha nikaingia kwenye gari
nikimsubiria.
Dakika chache akatoka na kisha akarudi tena ndani,kama
kawaida ya wanawake kujiandaa huwa inachukua muda
mrefu saana ndivyo ilivyokuwa kwa shemeji.
Alipomaliza aliingia kwenye gari na kisha nikawasha na
kuondoa gari taratibu sana
Kaka alinipendea kitu kimoja,kwenye uendeshaji wa gari
nilikuwa makini sana.
Shemeji alipoingia kwenye gari na kukaa kanguo
alikokuwa amevaa kalikuwa kafupi sana na kakapanda na
kuyaacha mapaja yote wazi
Nilijikuta kwenye wakati mgumu sana kuyaakwepesha
macho yangu ili nisiyaangalie yale mapaja meupe yasiyo
na doa.
" Ila kaka ananitafuta ubaya tu,kweli unamwacha mkeo
atoke kwenda matembezi na kanguo kadogo hivi? Dah!
Basi tu" niliwaza mwenyewe
" Vipi shem? Mbona una aibu hivyo? Kua basi na wewe"
akasema Shem
" Hapana shem mbona kawaida" nikamjibu
Niliendesha gari taratibu tukielekea katikati ya mji ili
shemeji akafanye shopping zake.
" Shem nikwambie kitu kizur?" akauliza Shem
" Niambie shemeji yangu" nikasema
" Unajua kuwa kaka yako wiki ijayo anasafiri?" akasema
" Sijui! Ila hilo kwani ni jambo zuri?" nikamuuliza
" Af wewe shemeji sijui akili yako ikoje? Hivi nifanye nini
ujue nakupenda?" akasema
" Kati ya kaka na mimi unampenda nani?" nikamuuliza
" Nakupenda wewe"akasema
" wa kupimwa wewe sio mzima,yaani unapenda mtu
mwingine tofaut na mmeo wa ndoa? Unakichaa si bure"
nikasema
" Shem acha utoto,kwani mimi dada yako? Au unafikiri
haitaingia? Em jaribu uone kama itagoma kuingia"
akasema
" Lakini si unajua kuwa wewe ni mke wa kaka yangu?"
nikamwambia
" Kwani kaka yako akiingiza huwa anaachamo alama? Acha
ushamba wewe? Haya mambo yapo,kula vitu wewe,hivi
unafikiri nikiamua kukuchukia utaishi hapa? Sasa utake
utanigonga usitake utanigonga,subir kakao aondoke"
akasema
" Simamisha gari" akafoka
Nikasimamisha gari pembeni ya bara bara,nikashangaa
akinivutoa kwake kisha akaleta mdomo kwangu na
kulazimisha denda.
" Utaacha lini ujinga huu shem?" nikasema
" Sasa sikia,nataka unipe denda kwa kupenda kwako kwa
dakika tatu mfululizo,kama hutaki tukirudi nyumbani
nitamwambia kakako kuwa ulikuwa unanishika mapaja
tukiwa kwenye gari na unaniambia akiondoka utanibaka"
akasema
Nikashikwa na mshangao!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom