hhaway
JF-Expert Member
- Jan 6, 2022
- 409
- 529
Acheni kujumuisha watu wote kwenye mtazamo wako kwani ukianza na "baadhi ya" unapungukiwa NiniWanaojiita walokole huwa ni wanafiki na wahuni wa chini chini huko kanisani kwao
Acheni kujumuisha watu wote kwenye mtazamo wako kwani ukianza na "baadhi ya" unapungukiwa NiniWanaojiita walokole huwa ni wanafiki na wahuni wa chini chini huko kanisani kwao
Unanipangia cha kuandika? You must be insaneAcheni kujumuisha watu wote kwenye mtazamo wako kwani ukianza na "baadhi ya" unapungukiwa Nini
Ni hao uliokutana nao,poleHongera ila binafsi mlokole, hata kufanya nae dili hapana aise
Walokole ni Walokole tuNi hao uliokutana nao,pole
Wale wa baba kasema akimaanisha mchungaji wake 😂hao hakuna rangi utaacha ona
Si ambao sihitaji mtu kati kumuomba Mungu , wachungaji nawaheshimu tu ila wao sio Mungu ,ukishajua hili hupati shida, wala hatuna shida😂
Kwahiyo usiwaze mkuu wapo wazuri tu
Unachooonja nn haswa?Nia njema ninayo sana tu ndio maana nataka kuonja, we unaweza kununua Karanga bila kuonja moja...
Kunamboga zilizotoka jikoni na bado zinamoto, na zilizopoa zenye baridi, ili kujua hayo inakupasa uonjee kwanza...Unachooonja nn haswa?
Hakuna jipya
Aisee 🙄Kunamboga zilizotoka jikoni na bado zinamoto, na zilizopoa zenye baridi, ili kujua hayo inakupasa uonjee kwanza...
Sawa, akinishinda huyu uniangalizie mwingine kanisani kwenu...Aisee
Bado una safari ndefu bro
Sawa
Utampata tu, jifanye mlokole, vumilia, ukipata mzigo na kuona hakuna jipya bwaga! Onyo, jiandae na miguno na vilio vya Yesu Yesu.....Nipo na tafakari nzito kichwani mwangu, naona mambo hayaniendei vyema kabisa.
Ni zaidi ya mwezi mzima sasa namtokea huyu binti anashindwa kunielewa, najiuliza nitumie mbinu gani kumvuta kwenye himaya yangu, siipati.
Kuokoka kwa kweli sipo teari kwa sasa, japokua ninania ya kumuoa na wala si kumchezea.
Wakuu mlio wahi kudate na hawa mabinti wa aina hii mlitumia mbinu gani? Mniokoe kijana wenu...
Kijana unamadini kichwani, ila usinichekeshe sana ninamajanga yangu leo, uzi wangu niliotumia madini mengi kichwani kuulemba, umekataa kukaa huko jukwaa la siansa, sina raha hata chembe walahi...Utampata tu, jifanye mlokole, vumilia, ukipata mzigo na kuona hakuna jipya bwaga! Onyo, jiandae na miguno na vilio vya Yesu Yesu.....
Sielewi kwanini wanapenda kumsingizia Yesu KRISTO wakati wa kukandwa! Ina bore sana hata mhogo waweza kusinyaa mdau!
mhh! Haya bhana!Wanaojiita walokole huwa ni wanafiki na wahuni wa chini chini huko kanisani kwao
Mwambie aje kufanya mkesha wa maombi nyumbani kwako kuna vitu huvielewi hapo lwa majirani..Nipo na tafakari nzito kichwani mwangu, naona mambo hayaniendei vyema kabisa.
Ni zaidi ya mwezi mzima sasa namtokea huyu binti anashindwa kunielewa, najiuliza nitumie mbinu gani kumvuta kwenye himaya yangu, siipati.
Kuokoka kwa kweli sipo teari kwa sasa, japokua ninania ya kumuoa na wala si kumchezea.
Wakuu mlio wahi kudate na hawa mabinti wa aina hii mlitumia mbinu gani? Mniokoe kijana wenu...
Lazima atakuja na mchunganji, waniletee sara isiyo kuwa na mwisho...Mwambie aje kufanya mkesha wa maombi nyumbani kwako kuna vitu huvielewi hapo lwa majirani..
😂😂😂😂Sawa, akinishinda huyu uniangalizie mwingine kanisani kwenu...
Nimefanyaje mkuu...?Duh we noma sn
Eti nikuunganishie ukimkosa?😂😂😂🙌Nimefanyaje mkuu...?
Ukifanya hivyo utakua umenisaidia sana kijana wenu mtiifu...Eti nikuunganishie ukimkosa?
Wa kuonja kwanza tafuta mwenyewe 😂Ukifanya hivyo utakua umenisaidia sana kijana wenu mtiifu...
Okoka tu ukishamuweka ndani unaangukaNipo na tafakari nzito kichwani mwangu, naona mambo hayaniendei vyema kabisa.
Ni zaidi ya mwezi mzima sasa namtokea huyu binti anashindwa kunielewa, najiuliza nitumie mbinu gani kumvuta kwenye himaya yangu, siipati.
Kuokoka kwa kweli sipo teari kwa sasa, japokua ninania ya kumuoa na wala si kumchezea.
Wakuu mlio wahi kudate na hawa mabinti wa aina hii mlitumia mbinu gani? Mniokoe kijana wenu...
Tabia ni kama ngozi haibadiliki, hatahuyo nitataka kuonja pia...Wa kuonja kwanza tafuta mwenyewe