Penzi la binti mlokole linanitoa jasho

Penzi la binti mlokole linanitoa jasho

Nipo na tafakari nzito kichwani mwangu, naona mambo hayaniendei vyema kabisa.

Ni zaidi ya mwezi mzima sasa namtokea huyu binti anashindwa kunielewa, najiuliza nitumie mbinu gani kumvuta kwenye himaya yangu, siipati.

Kuokoka kwa kweli sipo teari kwa sasa, japokua ninania ya kumuoa na wala si kumchezea.

Wakuu mlio wahi kudate na hawa mabinti wa aina hii mlitumia mbinu gani? Mniokoe kijana wenu...
Km una Nia njema mbona sioni shida hapo?
Mwambie direct Nia yako!
Mbinu nyingine nenda direct Kwa mchungaji wake mwambie Nia yako ,utakuwa umemaliza

Kuhusu wewe kuokoka usijali na wewe muda wako ,saa yako ipo, na itafika tu wala mtu asikulsazimishe.endelea kumuomba,kumuamini na kumtegemea Munguy
 
Km una Nia njema mbona sioni shida hapo?
Mwambie direct Nia yako!
Mbinu nyingine nenda direct Kwa mchungaji wake mwambie Nia yako ,utakuwa umemaliza

Kuhusu wewe kuokoka usijali na wewe muda wako ,saa yako ipo, na itafika tu wala mtu asikulsazimishe.endelea kumuomba,kumuamini na kumtegemea Munguy
Mabinti wakilokole hawafai kuwa wake kwa namna yoyote ile ,kijana akijichanganya amekwisha.
 
Km una Nia njema mbona sioni shida hapo?
Mwambie direct Nia yako!
Mbinu nyingine nenda direct Kwa mchungaji wake mwambie Nia yako ,utakuwa umemaliza

Kuhusu wewe kuokoka usijali na wewe muda wako ,saa yako ipo, na itafika tu wala mtu asikulsazimishe.endelea kumuomba,kumuamini na kumtegemea Munguy
Nataka kujalibisha kiatu kwanza kabla ya kununua.
 
Mabinti wakilokole hawafai kuwa wake kwa namna yoyote ile ,kijana akijichanganya amekwisha.
Too generalization ...
Ni sawa na wanaosena wanaume wote mbwa kisa aliumizwa na mmoja,au wanawake wote walewale kisa alichapiwa

Wapo wanawake/wanaume wazuri
Wapo walokole wazuri pia .....
Nyakati zimebadirika mno
 
Too generalization ...
Ni sawa na wanaosena wanaume wote mbwa kisa aliumizwa na mmoja,au wanawake wote walewale kisa alichapiwa

Wapo wanawake/wanaume wazuri
Wapo walokole wazuri pia .....
Nyakati zimebadirika mno
Kati ya watu ninao waonaga vilaza ni walokole mkuu, kama kuna ambao wanajitambua hongera kwao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom