Penzi la binti mlokole linanitoa jasho

Penzi la binti mlokole linanitoa jasho

Nipo na tafakari nzito kichwani mwangu, naona mambo hayaniendei vyema kabisa.

Ni zaidi ya mwezi mzima sasa namtokea huyu binti anashindwa kunielewa, najiuliza nitumie mbinu gani kumvuta kwenye himaya yangu, siipati.

Kuokoka kwa kweli sipo teari kwa sasa, japokua ninania ya kumuoa na wala si kumchezea.

Wakuu mlio wahi kudate na hawa mabinti wa aina hii mlitumia mbinu gani? Mniokoe kijana wenu...
Mpe hela mkuu, usiongee sana
 
Nipo na tafakari nzito kichwani mwangu, naona mambo hayaniendei vyema kabisa.

Ni zaidi ya mwezi mzima sasa namtokea huyu binti anashindwa kunielewa, najiuliza nitumie mbinu gani kumvuta kwenye himaya yangu, siipati.

Kuokoka kwa kweli sipo teari kwa sasa, japokua ninania ya kumuoa na wala si kumchezea.

Wakuu mlio wahi kudate na hawa mabinti wa aina hii mlitumia mbinu gani? Mniokoe kijana wenu...
Kwani wewe unamuelewa na kujielewa?
 
Wakati unamtokea yeye anakuja na arguments zipi kwanza, maana wew unataka msaada na wakati ushaelesa argument anazokuja Nazo huyo mdada mlokole
 
Wanaojiita walokole huwa ni wanafiki na wahuni wa chini chini huko kanisani kwao
Kweli kabisa, kunabinti mmoja kitambo kidogo nilikua nae katika mahusiano, na nilibahatika kuwa mtu wa kwanza kwake. Huyu binti bwana alikua anasali Ingilikana, ilifika kipindi akaja kuniambia anajutia dhambi aliyo itenda pamoja nami, hivyo ametubu na anataka kubadilika. Aise nilitumia nguvu kubwa kumshawishi lakini wapi, mwisho wa siku nakuja kugundua kumbe huwa anatoka na kajamaa flani mtaani dereva bodaboda. Toka siyo hiyo sijawahi kuamini kunamtu yeyote aliyepo kanisani yupo salama.
 
Mkuu wakati unampiga msako wa "unatoa hutoi" huyo binti mlokole ningeshauri utafute binti moja wa kuendelea kupooza machungu ya ny3g3 na hasira ndogo ndogo, itakusaidia kuepuka kua na pupa.

Hao nenda nao taratibu support idea zake, kubaliana na lifestyle lake, usioneshe kukereka na mitazamo yake hata kama unaona kabisa anachokisema ni 'mashudu' tupu.

Nature ya walokole ni watu wanaopenda kua free ndo maana makanisa yao hayana centrality
Umeongea kiume kamanda bonge la Idear, ngoja nilifanyie kazi...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom