Penzi la binti mlokole linanitoa jasho

Penzi la binti mlokole linanitoa jasho

Mjusi Sharobalo

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2025
Posts
7,531
Reaction score
12,925
Nipo na tafakari nzito kichwani mwangu, naona mambo hayaniendei vyema kabisa.

Ni zaidi ya mwezi mzima sasa namtokea huyu binti anashindwa kunielewa, najiuliza nitumie mbinu gani kumvuta kwenye himaya yangu, siipati.

Kuokoka kwa kweli sipo teari kwa sasa, japokua ninania ya kumuoa na wala si kumchezea.

Wakuu mlio wahi kudate na hawa mabinti wa aina hii mlitumia mbinu gani? Mniokoe kijana wenu...
 
Kama umempenda binti wa kilokole, mbona taratibu zipo wazi

Nenda Kwa mchungaji wake, umweleze unataka kumwoa binti fulani hapo Kanisani kwake

Then mambo yote yataenda sawa, na Mke utapewa

NB; hakikisha nawe unakuwa mtu wa ibada

Kama ni Mzee wa hit and run utasubiri sana labda uwe mtu mwenye kibunda
 
asa we nae badala ya kutoa ushauri unamuita mwanaume mwenzako?
Komaa mzey
Screenshot_20250611-171651 (1).jpg
 
Mkuu wakati unampiga msako wa "unatoa hutoi" huyo binti mlokole ningeshauri utafute binti moja wa kuendelea kupooza machungu ya ny3g3 na hasira ndogo ndogo, itakusaidia kuepuka kua na pupa.

Hao nenda nao taratibu support idea zake, kubaliana na lifestyle lake, usioneshe kukereka na mitazamo yake hata kama unaona kabisa anachokisema ni 'mashudu' tupu.

Nature ya walokole ni watu wanaopenda kua free ndo maana makanisa yao hayana centrality
 
Kama umempenda binti wa kilokole, mbona taratibu zipo wazi

Nenda Kwa mchungaji wake, umweleze unataka kumwoa binti fulani hapo Kanisani kwake

Then mambo yote yataenda sawa, na Mke utapewa

NB; hakikisha nawe unakuwa mtu wa ibada

Kama ni Mzee wa hit and run utasubiri sana labda uwe mtu mwenye kibunda
Nataka nijalibishe kwanza saizi ya kitu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom