Penzi jipya mawasiliano ya zamani

Hujawahi kushobokea mtu halafu akakuignore wewe, hasa kwetu wanawake na uwe umependa na kujiona umempata wa kufanana nae, mhuuu
 
Hujawahi kushobokea mtu halafu akakuignore wewe, hasa kwetu wanawake na uwe umependa na kujiona umempata wa kufanana nae, mhuuu
It is painful, irrational and it can make you question everything including your self worthy and confidence. Ndo maana wengine hufikia mpaka hata kuwaza kujikatisha moto. Lakini ni mwanzo mwanzo huko. Ukishakuwa veteran na ka self awareness fulani hivi unaumia lakini unakuwa mwepesi wa kuachilia.

She will be OK.....
 
Na sasaiv wanasajiliwa kujaza mafuta mpk kitambulisho, mbona atabaki na msukuma mwenye kiburi cha dunia
Ila mwanaume ni lazima uwe na ka kiburi fulani bana vinginevyo utaendeshwa sana hasa kwa hawa watoto wa afumbili hawa. Na nyie wanawake mnaweza kuwa makatili ajabu. Alichonitendea Magreth wangu sitakuja kusahau aisee ๐Ÿ˜‚
 
Na sasaiv wanasajiliwa kujaza mafuta mpk kitambulisho, mbona atabaki na msukuma mwenye kiburi cha dunia
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ et kiburi cha dunia
Ila kasukuma haka ukiwa nae karibu una enjoy mahaba KAMA yote wivu kama wote simu kama zote nenda mbali sasa
Unatafutwa usiku wa manane yaani ukiamka Asubuh unakuta ulitafutwa๐Ÿคฃ
 
Ila kufanya mtoto wa kiume hata haipendezi angalau mdada tutasema na maringo sasa mwanaume unakuaje na tabia za kike
 
Cha kukushauri hatna, ni uamuzi wako uende nae hivyo hivyo kama unaweza vumilia, unaona huwezi tua mzigo kuwa free utapata mwingine.

Jitahidi upate mimba labda ndio tutakushauri jina la mtoto ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, ila mapenzi hatuwezi kukushauri(joke)
Unafikiri wanawake tunashindwa kuvumilia ni suala la sasampa kama zipo na zinatolewa tunavumilia huku unatafuta wa kukuchartisha
 
Mimi Sasa ndio sinaga hizo habari sijui hata nikikutana na mtu akanionesha love napenda tena nahisi ni mwepesi kusahau
 
Kuachilia ni kwepesi endapo nae huyo akimpitisha alikompitisha yeye, mi nishafanya hiyo kitu niliburudika sana
 
Dah inasikitikasha sana vijana tafuteni kazi za kufanya za kuwaingizia pesa yuko busy ndo maana hana mda na ww unapata wap mda et unamuuliza ex wake wazamani et kwann mliachana tena men mwenzako kabisa dah inasikitisha sana
Baada ya kutafuta pesa zinatakiwa zitumike sio ziwekwe tu sasa kwenye matumizi hapo lazima apatikane wa kutumia nao
 
Ila mwanaume ni lazima uwe na ka kiburi fulani bana vinginevyo utaendeshwa sana hasa kwa hawa watoto wa afumbili hawa. Na nyie wanawake mnaweza kuwa makatili ajabu. Alichonitendea Magreth wangu sitakuja kusahau aisee ๐Ÿ˜‚
Kuna kiburi cha kiume na kuna kile cha huyu shem wetu,, hizo ni nyodo
 
Ila mwanaume ni lazima uwe na ka kiburi fulani bana vinginevyo utaendeshwa sana hasa kwa hawa watoto wa afumbili hawa. Na nyie wanawake mnaweza kuwa makatili ajabu. Alichonitendea Magreth wangu sitakuja kusahau aisee ๐Ÿ˜‚
Kiburi uwe Nacho lakini angalia na nani unamfanyia kiburi mtu hana shida yoyote kanyooka hana makandokando kiburi cha nini
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ et kiburi cha dunia
Ila kasukuma haka ukiwa nae karibu una enjoy mahaba KAMA yote wivu kama wote simu kama zote nenda mbali sasa
Unatafutwa usiku wa manane yaani ukiamka Asubuh unakuta ulitafutwa๐Ÿคฃ
Yani huyo ni mwepesi maana ni wazi nae anakupenda ila kiburi kinamzidi

mi asbh tu ningemuonyesha nyodo ni nini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ