Penzi jipya mawasiliano ya zamani

Penzi jipya mawasiliano ya zamani

Nampendamilele

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2024
Posts
387
Reaction score
547
Poleni wote na Mungu azidi kuwatia nguvu wale wote mliopoteza ndugu na jamaa Hakika Mungu akawafariji kipindi hiki kigumu


Mimi nae mapenzi yataniua na stress Kila napogusa hola 🄹

Nina penzi jipya ila ni kama la zamani imagine penzi lina mwezi lakini mawasiliano ni ya manati.. tangu jana nilimpomtafuta aka respond kwa sms 3 nikapiga usiku simu yangu haikupokelewa.. Naona tu Asubuhi Kijana ana view status yangu ni kama hakumbuki uwepo wangu.

Mimi kawaida sio msumbufu wa kupiga simu sana au sms kila saa.. kanuni yangu huwa situmi sms juu ya sms wala kupiga simu juu ya simu, naamini kwamba kila mtu ana maisha yake nnje ya mahusiano kwaiyo najiwekea mipaka ila tabia ya kughost huwa inanikwza mno

Huyu jamaa nilimuuliza why waliachana na mtu wake akajibu kuwa ex wake alimwambia hayuko romantic yaani yuko bize sana kiasi kwamba mawasiliano ni hafifu.. nikaona kawaida maybe ex alitaka sana attention zile za umekula, umelala, sijui umekunywa maji .. nikajiona mimi huo utoto sina lakini duuh na mimi ni kama yananishinda najaribu kumuweka karibu yangu lakini hasomeki

Nafahamu mishe zake ni mtu ambae yuko bize kiasi chake lakini sasa kama mtu ana uwezo wa kuingia online basi hakosi muda wa dakika 5 kunijulia hali

Kila siku kuwa mimi tu ndio wa kumtafuta nachoka.. kinachoniuma sio kumtafuta wa kwanza ni ile umemtafuta mtu halafu harespond vile utegemeavyo ama unapiga simu haipokelewi

Ina maana anakosa muda hata wa kupiga dakika 2 tukazungumza ina maana haendi chooni, hali chakula yaani ni kitu kina nikeraa.. na kwa vile husiano jipya nashindwa hata kutoa kero zangu nisionekane kisirani

Kabila lake ni sukuma sijui hawa watu ndio asili yao au kujiendekeza tu

Nahitaji ushauri namna ya kuishi na huyu mtu au ndio red flags nitimue mbio mapema
 
Poleni wote na Mungu azidi kuwatia nguvu wale wote mliopoteza ndugu na jamaa Hakika Mungu akawafariji kipindi hiki kigumu


Mimi nae mapenzi yataniua na stress Kila napogusa hola 🄹

Nina penzi jipya ila ni kama la zamani imagine penzi lina mwezi lakini mawasiliano ni ya manati.. tangu jana nilimpomtafuta aka respond kwa sms 3 nikapiga usiku simu yangu haikupokelewa.. Naona tu Asubuhi Kijana ana view status yangu ni kama hakumbuki uwepo wangu.

Mimi kawaida sio msumbufu wa kupiga simu sana au sms kila saa.. kanuni yangu huwa situmi sms juu ya sms wala kupiga simu juu ya simu, naamini kwamba kila mtu ana maisha yake nnje ya mahusiano kwaiyo najiwekea mipaka ila tabia ya kughost huwa inanikwza mno

Huyu jamaa nilimuuliza why waliachana na mtu wake akajibu kuwa ex wake alimwambia hayuko romantic yaani yuko bize sana kiasi kwamba mawasiliano ni hafifu.. nikaona kawaida maybe ex alitaka sana attention zile za umekula, umelala, sijui umekunywa maji .. nikajiona mimi huo utoto sina lakini duuh na mimi ni kama yananishinda najaribu kumuweka karibu yangu lakini hasomeki

Nafahamu mishe zake ni mtu ambae yuko bize kiasi chake lakini sasa kama mtu ana uwezo wa kuingia online basi hakosi muda wa dakika 5 kunijulia hali

Kila siku kuwa mimi tu ndio wa kumtafuta nachoka.. kinachoniuma sio kumtafuta wa kwanza ni ile umemtafuta mtu halafu harespond vile utegemeavyo ama unapiga simu haipokelewi

Ina maana anakosa muda hata wa kupiga dakika 2 tukazungumza ina maana haendi chooni, hali chakula yaani ni kitu kina nikeraa.. na kwa vile husiano jipya nashindwa hata kutoa kero zangu nisionekane kisirani

Kabila lake ni sukuma sijui hawa watu ndio asili yao au kujiendekeza tu

Nahitaji ushauri namna ya kuishi na huyu mtu au ndio red flags nitimue mbio mapema
Wasukuma wengi wana ego ndo walivyo na hasa ukute ana kaelimu ka hapa na pale kausafiri na tuhela twa mboga ndo mama weee ego inakuwa juu zaidi

Tatizo na wewe umewahi kufoli in lavu,, ila haina ngwede punguza speed ya kumtafuta jizoeshe kumuacha,, hivyo hivyo kimya kimya mpotezee songa mbele kuna kipindi genye zikimbana atakutafuta yeye kwa speed ile aliyotumia kukutongoza huo ndo muda sasa na wewe kumfanyia hicho alichofanya tena unaweza kuzidisha utakuwa km unampa matumaini umefurahi kukutafuta kwake then ziii unakula buyu km humtaki mpk akuulize mbona sikuelewi unanipenda kweli,, unajichekesha then brush kimya,, mkifikia hapo atakuwa anakutafuta sana halafu siku ukijisikia unamueleza tu kuwa atafute njia yake,,, au unapiga kimya forever ili ateseke miaka,,,

Kama hutaki hizo drama piga kimya km hamna kilichotokea ila siku akijichanganya kukutafuta mpe hitimisho, fullstop
 
Wasukuma wengi wana ego ndo walivyo na hasa ukute ana kaelimu ka hapa na pale kausafiri na tuhela twa mboga ndo mama weee ego inakuwa juu zaidi

Tatizo na wewe umewahi kufoli in lavu,, ila haina ngwede punguza speed ya kumtafuta jizoeshe kumuacha,, hivyo hivyo kimya kimya mpotezee songa mbele kuna kipindi genye zikimbana atakutafuta yeye kwa speed ile aliyotumia kukutongoza huo ndo muda sasa na wewe kumfanyia hicho alichofanya tena unaweza kuzidisha utakuwa km unampa matumaini umefurahi kukutafuta kwake then ziii unakula buyu km humtaki mpk akuulize mbona sikuelewi unanipenda kweli,, unajichekesha then brush kimya,, mkifikia hapo atakuwa anakutafuta sana halafu siku ukijisikia unamueleza tu kuwa atafute njia yake,,, au unapiga kimya forever ili ateseke miaka,,,

Kama hutaki hizo drama piga kimya km hamna kilichotokea ila siku akijichanganya kukutafuta mpe hitimisho, fullstop
Duuh Asante kwa ushaurii.. mtu unajitahidi kujishusha usionekane una ego ila mtu haoni thamani.. kusema ukweli sio kwamba nimesha fall in love hapana ni ile hali kuwa unataka tu upate mtu wa kutulia nae basi unasema utaachana na wangapi umshikilie mtu lakini yeye ni kama hakuoni wanaume mnaboa sana
 
Duuh Asante kwa ushaurii.. mtu unajitahidi kujishusha usionekane una ego ila mtu haoni thamani.. kusema ukweli sio kwamba nimesha fall in love hapana ni ile hali kuwa unataka tu upate mtu wa kutulia nae basi unasema utaachana na wangapi umshikirie mtu lakini yeye ni kama hakuoni wanaume mnaboa sana
Huyo ana ego ya juu sana, tafuta mwingine hapo ushajichanganya, ukiendelea kujipendekeza utateseka vibaya mno
 
Wasukuma wengi wana ego ndo walivyo na hasa ukute ana kaelimu ka hapa na pale kausafiri na tuhela twa mboga ndo mama weee ego inakuwa juu zaidi

Tatizo na wewe umewahi kufoli in lavu,, ila haina ngwede punguza speed ya kumtafuta jizoeshe kumuacha,, hivyo hivyo kimya kimya mpotezee songa mbele kuna kipindi genye zikimbana atakutafuta yeye kwa speed ile aliyotumia kukutongoza huo ndo muda sasa na wewe kumfanyia hicho alichofanya tena unaweza kuzidisha utakuwa km unampa matumaini umefurahi kukutafuta kwake then ziii unakula buyu km humtaki mpk akuulize mbona sikuelewi unanipenda kweli,, unajichekesha then brush kimya,, mkifikia hapo atakuwa anakutafuta sana halafu siku ukijisikia unamueleza tu kuwa atafute njia yake,,, au unapiga kimya forever ili ateseke miaka,,,

Kama hutaki hizo drama piga kimya km hamna kilichotokea ila siku akijichanganya kukutafuta mpe hitimisho, fullstop
Hiyo tabia wadada wengi wanayo, kuna mdada mmoja nlichukua namba yake, nianze kujenga ukaribu nae ili hatimae nimtongoze, nlimtext Whatsapp kimya hajibu, meseji ya kawaida hajibu, nlimfata uso kwa uso kumwambia nlimtumia meseji akaniambia hafunguagi meseji, nikajiongeza nikaona huyu hataki ukaribu na mimi na hajavutiwa kimapenzi na mimi, nikamuacha

Hee fast-forward mwaka ukapita, aliolewa kwingine siku tunapiga story aliniambia alivoniona mara ya kwanza alijua mimi ndo mume wake mtarajiwa, hapo sasa mm kichwani nkajisemea wtf, kama aliona mimi namfaa kilichomfanya anikaushie ni nini 🫢😯hata kujibu hi through text ilimshinda Kapeace
 
Hiyo tabia wadada wengi wanayo, kuna mdada mmoja nlichukua namba yake, nianze kujenga ukaribu nae ili hatimae nimtongoze, nlimtext Whatsapp kimya hajibu, meseji ya kawaida hajibu, nlimfata uso kwa uso kumwambia nlimtumia meseji akaniambia hafunguagi meseji, nikajiongeza nikaona huyu hataki ukaribu na mimi na hajavutiwa kimapenzi na mimi, nikamuacha

Hee fast-forward mwaka ukapita, aliolewa kwingine siku tunapiga story aliniambia alivoniona mara ya kwanza alijua mimi ndo mume wake mtarajiwa, hapo sasa mm kichwani nkajisemea wtf, kama aliona mimi namfaa kilichomfanya anikaushie ni nini 🫢😯hata kujibu hi through text ilimshinda Kapeace
Na wewe alivyoanza kujirudisha ukamshobokea,,

Dawa yao ni kula buyu hata akuvutieje hutakiwi kumshobokea hiyo inamtafuna kila akikukumbuka
 
Cha kukushauri hatna, ni uamuzi wako uende nae hivyo hivyo kama unaweza vumilia, unaona huwezi tua mzigo kuwa free utapata mwingine.

Jitahidi upate mimba labda ndio tutakushauri jina la mtoto šŸ˜‚šŸ˜‚, ila mapenzi hatuwezi kukushauri(joke)
 
Wasukuma wengi wana ego ndo walivyo na hasa ukute ana kaelimu ka hapa na pale kausafiri na tuhela twa mboga ndo mama weee ego inakuwa juu zaidi

Tatizo na wewe umewahi kufoli in lavu,, ila haina ngwede punguza speed ya kumtafuta jizoeshe kumuacha,, hivyo hivyo kimya kimya mpotezee songa mbele kuna kipindi genye zikimbana atakutafuta yeye kwa speed ile aliyotumia kukutongoza huo ndo muda sasa na wewe kumfanyia hicho alichofanya tena unaweza kuzidisha utakuwa km unampa matumaini umefurahi kukutafuta kwake then ziii unakula buyu km humtaki mpk akuulize mbona sikuelewi unanipenda kweli,, unajichekesha then brush kimya,, mkifikia hapo atakuwa anakutafuta sana halafu siku ukijisikia unamueleza tu kuwa atafute njia yake,,, au unapiga kimya forever ili ateseke miaka,,,

Kama hutaki hizo drama piga kimya km hamna kilichotokea ila siku akijichanganya kukutafuta mpe hitimisho, fullstop
It ain't that easy and formulaic - labda kama keshatendwa sana mpaka kupata usugu wa hisia. Ndo maana kuna msemo kwamba "Love is a hell of a drug"

Afuate hisia zake ali mradi tu aende na ubongo wake katika huo mfuatano. Na kama anajielewa hakuna kitakachoharibika.
 
Poleni wote na Mungu azidi kuwatia nguvu wale wote mliopoteza ndugu na jamaa Hakika Mungu akawafariji kipindi hiki kigumu


Mimi nae mapenzi yataniua na stress Kila napogusa hola 🄹

Nina penzi jipya ila ni kama la zamani imagine penzi lina mwezi lakini mawasiliano ni ya manati.. tangu jana nilimpomtafuta aka respond kwa sms 3 nikapiga usiku simu yangu haikupokelewa.. Naona tu Asubuhi Kijana ana view status yangu ni kama hakumbuki uwepo wangu.

Mimi kawaida sio msumbufu wa kupiga simu sana au sms kila saa.. kanuni yangu huwa situmi sms juu ya sms wala kupiga simu juu ya simu, naamini kwamba kila mtu ana maisha yake nnje ya mahusiano kwaiyo najiwekea mipaka ila tabia ya kughost huwa inanikwza mno

Huyu jamaa nilimuuliza why waliachana na mtu wake akajibu kuwa ex wake alimwambia hayuko romantic yaani yuko bize sana kiasi kwamba mawasiliano ni hafifu.. nikaona kawaida maybe ex alitaka sana attention zile za umekula, umelala, sijui umekunywa maji .. nikajiona mimi huo utoto sina lakini duuh na mimi ni kama yananishinda najaribu kumuweka karibu yangu lakini hasomeki

Nafahamu mishe zake ni mtu ambae yuko bize kiasi chake lakini sasa kama mtu ana uwezo wa kuingia online basi hakosi muda wa dakika 5 kunijulia hali

Kila siku kuwa mimi tu ndio wa kumtafuta nachoka.. kinachoniuma sio kumtafuta wa kwanza ni ile umemtafuta mtu halafu harespond vile utegemeavyo ama unapiga simu haipokelewi

Ina maana anakosa muda hata wa kupiga dakika 2 tukazungumza ina maana haendi chooni, hali chakula yaani ni kitu kina nikeraa.. na kwa vile husiano jipya nashindwa hata kutoa kero zangu nisionekane kisirani

Kabila lake ni sukuma sijui hawa watu ndio asili yao au kujiendekeza tu

Nahitaji ushauri namna ya kuishi na huyu mtu au ndio red flags nitimue mbio mapema
Dah inasikitikasha sana vijana tafuteni kazi za kufanya za kuwaingizia pesa yuko busy ndo maana hana mda na ww unapata wap mda et unamuuliza ex wake wazamani et kwann mliachana tena men mwenzako kabisa dah inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom