Penzi Changa:- Let us share experience

Penzi Changa:- Let us share experience

Enzi zetu, wasichana wana aibu sana, anataka uzime taa. Ila vibinti vya siku hizi mmmhhh....

Duu mkuuu kwanza kunjunjana na giza haipendezi yaaani,,, nishagombani na vibinti kadhaa,, eti “zima taa“.. Teh teh teh
 
Saa tisaa usiku halafu anakuuliza unafanya nn? Teh teh teh.. Lakini mkishachokana akupigie midaa hiyooo.... Sipati picha majibu yatakayo toka hapo

mwanzo mwanzo raha sana mkuu tena huo ndo wakati wa kula tunda ukizembea hapo bas
 
Enzi zetu, wasichana wana aibu sana, anataka uzime taa. Ila vibinti vya siku hizi mmmhhh....

Hahahahaaa muhanga kama huu mimi bado tu unanikumba mkuu sijui ni kasumba ya wapi hii.
Toka miaka ya 80 mpaka leo mademu zangu wananiambiaga nizime taa
 
I dd
umenikumbusha diana wangu, nilimtia siku ileile alonipa jibu, kesho yake tena akaja, dah! likiwa changa tamu say

Hehehehe sex on first sight sio, I love that I dd it several times only kwa wanaojitambua tu
 
Enzi zile kutongozwa kulipokuwa na "thamani".....
enzi zile kutongoza kulipokuwa"kugumu"....
enzi zile zawadi ilipokuwa "ghali"....
enzi zile ahadi ilipokuwa nadra kutotimizwa....
enzi zile "usichana" ulivyokuwa "tunu"......
enzi zile tulipoweza kutofautisha MAHABA na MAPENZI ......
enzi zile tulipolijuwa penzi changa na "pevu".....
enzi zileeeeeeee
Ahhh! Yakupi mash!!
Enzi hairudi na ufalme ni enzi chambilecho maneno ya wahenga!
 
Mkuuu kanikumbushaa mbali kinyama.. Nilinyeshewa na mvuaa aiseee nimesimama chini ya mti namsubiri mtoto.. Kigiza giza cha jioni hivi....

we kama Mimi mkuu nilinyeshewa mvua kubwa pale C.B.E akiba jioni namsubiri mtoto Cecilia atoke class
 
Vya siku hizi vinaliwa kweupee, na vikiwa ndani vinatembea "chiu" kabisa; utamuona nyatunyatu kama alivyozaliwa huyoo mara bafuni, kabatini. Hadi "stimu" inakata bhana!!

Enzi zetu, wasichana wana aibu sana, anataka uzime taa. Ila vibinti vya siku hizi mmmhhh....
 
Back
Top Bottom