KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,569
- 21,078
Penzi changa lina raha sana, nyakati tamu za kukumbukwa, candle light dinner, vijizawadi na vikwerombezwo vingine. Je,wewe unakumbuka nini kwenye mapenzi machanga?
First kiss
umenikumbusha diana wangu, nilimtia siku ileile alonipa jibu, kesho yake tena akaja, dah! likiwa changa tamu say
Haaa haaa eti diana wangu!.... Cku ya kwanza tu kakupa huyo alikuwa maharage ya mbeya
Haaa haaa eti diana wangu!.... Cku ya kwanza tu kakupa huyo alikuwa maharage ya mbeya
Kumbe kutiwa siku ya kwanza ni umaharage ya mbeya eeh
ni kwavile tu humjui dada mwenyewe, ilikuwa kama utani yaani, hata mwenyewe sikuamini kama ndo namla, the most beatiful lady ktk series yangu
Haaa haaa eti diana wangu!.... Cku ya kwanza tu kakupa huyo alikuwa maharage ya mbeya
nilivyopewa pesa nyingi
Mtandao wako kabambe kama wa DAWASCO