Mkuu pole sana! Bahati nzuri mimi hii niliikuta mwishoni, hivyo athali ya kusubiri ilikuwa ndogo!Hii simulizi sitakuja kuisahau. Ilinifanya nisilale vizuri, iliathiri kabisa ufanisi wangu wa kazi. Pongezi kwako PATRICK CK kwa hii simulizi ya aina yake. Hii simulizi bora kabisa kati ya zote nilizowahi kuzisoma. Umetisha sana.
We mngese acha ubashite banaa utaquote VP story nzimatuendelee
Naikumbuka niliisomaga nikiwa primary ilikuwa inatolewa kwenye gazeti LA kiu baadae ndio wakatoa kitabuyule mkimbizi alikuwa anaitwa tiga mumba... hadithi kali sana ile aiseeeeee cjawahi ona kitabu chake... hawa watu hawatungi vitaaaabuuuuuu!
Nadhani ni Nuru siyo Lulu
Yeapwatu wana kumbukumbu balaa
Hyuyu peniela anamfaa sana dabyuyu peniela sijui anampa nini Dr Joshua si kwa kumchanganya uko LEGE shukrani sana
nenda play store then pakua aplication inaitwa UWARIDI humo utapata story kibaoo