Mwaka 2015 si vibaya Pengo akachukua maamuzi ya kugombea nafas ya kisiasa,it seems siasa anaziweza sana kuliko utumishi wa mungu,
Mtikila ameweza yeye atashindwaje?
Hiyo ndio hoja aliyoitoa Askf Pengo. Jifunze kusoma kwanza ndipo uchangie na sio kuongozwa na mlengo wa kidini au kisiasa.