Pengo: Nimesamehe


Mkuu, Kadinali ndiye mkuu wa kanisa katoliki Tanzania. Maaskofu wanapewa kutokana na idadi ya waumini kwa jimbo. Kuna nchi kama Botswana au Namibia zina Askofu mmoja tu nchi nzima na hazina Kardinali, Kwa hiyo wako chini ya Kadinali wa South Africa. Kwenye nchi zenye zaidi ya kadinali mmoja then kila mmoja ana eneo lake la kuongoza. Kwa sasa Tanzania tunaye mmoja tu ndiyo maana akifa anateuliwa mwingine. Ukadinali hautolewi kama vyeo vya jeshini. Madaraka ya kanisa katoriki siyo ya kupokezana kama unavyofikiria. Hayo ya Rais wa TEC ni utaratibu tu waliojiwekea na siyo lazima unatumika kila mahali duniani.
 
Rais wa TEC ndiye mkuu wa kanisa katoliki Tanzania. Na sio Kadinali yeyote. Kuna nchi hazina Makadinali.

Sasa unadhani kwa nini tuna Kadinali mmoja tu Tanzania na kwa nini mwingine huwa anapewa hicho cheo baada ya mwingine kufa?? Unafikiri kwa nini Pengo alipewa hicho cheo baada ya Lugambwa kufa??

Cheo cha Kadinali siyo kama cha Urais kwamba kila nchi lazima iwe naye na wala hakitolewi kwa seniority. Nchi nyingi zisizo na wakatoliki wa kutosha hazina hata Askofu ................!!
 
sheria ya Jamhuri haitambui dini! Kumbuka hilo ukifanya kosa unahukumiwa accordingly hakuna kuachiwa Gwajima ajibu mashtaka.
 

Ndivyo hivyo mnavyodanganywa na Gwajima ........................ Sidhani hata kama Pengo alihudhuria huo mkutano. Pengo kukaa mkutano mmoja na maaskofu wa kujipachika kama Gwajima ni kulipunguzia hazi kanisa katoliki!!

Gwajima namfahu siku nyingi toka akiwa Mchungaji njaa mpaka Kujipachika Uaskofu!! Ni tapeli aliyebobea!!
 
Mimi Mkatoliki na mseminary lakini namwelewa zaidi Gwajima kuliko Pengo . Pengo alitakiwa kuomba Wakatoliki wa Tanzania msamaha kwa ushirika wake na CCM kabla ya kusema amesamehe Gwajima .

Sishangai kuona kuwa umezoea maneno ya taarabu. Watanzania wengi sana wana matatizo ya kufanya analysis hata kwenye kipande kidogo tu cha taarifa. Hivi leo ukiwa na ile audio ya Pengo mbele ya sheria unaweza kueleza alisema upige kura ya aina gani??? Sisi kwetu neno LUNYUNGU ni mmea wa maboga ambao mara nyingi huota sehemu za vyoo, ndio maana nika-doubt sana uwezo wako. May be wewe ni drop-out seminarini
 
Hii dhambi haitamuacha pengo na unafiki wake
 
Kwa hiyo unafikiri wewe nani mkuu wa kanisa katoliki tanzania (if at all that cheo exists in the church kwa namna ulivoiweka wewe au Gwajima)
 
Angeshitakiwa na Pengo sawa. Huyo jamaa ni Jamhuri imemshtaki. Ngoja akome kwanza.
 
Weweee sasa hapo ndo umefanya analysis ya alosema Pengo contradicting ile taarifa ya pamoja ya maaskofu na umefanya pia analysis ya comment za huyu Lunyungu ? so you count yourself as one of the few Tanzanians, as you put it, wanoweza kufanya analysis?.....poor you!!!
 
Angeshitakiwa na Pengo sawa. Huyo jamaa ni Jamhuri imemshtaki. Ngoja akome kwanza.
serious akome?
kwani hati ya mashitaka dhidi yake ni kutaka kumkomesha au ni kile kinachodaiwa ni matusi? ndo maana mwadhama amesamehe sasa jamhuri Kama Ina mambo mengine ni bora iwekwe wazi maana jamii inajua ni kwa sababu ya kile kinachodaiwa ni matusi
 

Mimi Sitamsamehe Ng'o Gwajima Wenu Huyo NITAMCHUKIA Daima Kwani Hawezi Kututukania Rais Wetu Wakatoliki Hapa Nchini Tanzania.
 


Usiingize dini na mambo ya serikali. Mbona mahakama ya kadhi mnaitolea mapovu eti kwa kuwa ni kitu cha kiimani. Kwanini unataka kuchomeka imani yenu kwenye mambi ya kiserikali? Hata hili tuliache maana linahusu serikali na si imani ya mtu. Kwani Gwajima alitukana kuukashfu ukatoliki ama alimtukana mtu binafsi? Wewe vipi bwana. kaa kimya kama ambavyo mnataka tukae kimya kuhusu mahakama ya kadhi.
 
Anaweza kuwa na msamaha lakini hawezi kusamehewa kamwe kwa kupingana na maaskofu wenzake waliotoa msimamo thabiti kuhusu serilkali kujiingiza katiaka suala la kuandaa Mahakama ya kadhi kupitia Bunge lenye Wakritu na Waislamu.

Hawezi kuwa sehemu ya kuvunja msingi imala wa nchi yetu kutoendeshwa kidini na apate msamaha, yeye ndiye awaombe radhi maaskofu wenzake maana amewadharirisha sana.

Hawezi kuaminika kwa hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…