Pengo: Nimesamehe

ishia zako mzee
huna lolote mzee
umevurugwa mzee
sikuheshimu tena mzee
huna maana mzee
umejidharaulisha mzee
pampers weee mzee
Saa ya wokovu sema ameeeeeeeen
 
Mkuu hapo mwkt wa TEC kuwa mkuu wa kanisa ni kwl, kardinali ni cheo tu ila sio mkuu wa kanisa

Tuache kujazana ujinga. Kiongozi wa Kanisa mahalia ni Kardinali. Kwa mantiki hiyo Pengo ndio kiongozi wa kanisa katoliki Tz. Ngalalekumtwa ni Rais wa baraza la Maaskofu katoliki.TEC Ni taasisi au ni mkusanyiko wa maaskofu wakatoliki Tz na huwa wanakuwa na kiongozi wao ambae hukaa madarakani kwa vipindi visivyozidi viwili vya miaka 3.
 
Pasco michango mingi inayotolewa humu ni kwa mujibu wa mleta mada ambaye nukuu yake si kamilifu kama Muhadhama alivyotamka. Matumaini yangu ni kuwa radio na tv tuamini watatoa kukamilifu ili watu wajue kwa usahihi kauli yake na kupunguza malumbano yaliyopo hapa.
 
Kwanza anatakiwa atubu kwa dhambi ya mipango ovu aliyopanga na Pinda ya kumtesa Gwajima. Pia amwambie na Kilaini arudishe pesa za escrow zilizoliwa na majambazi wote.

mkuu amwambie kilaini yeye ni nani wa kumhukumu wengine? kazi ya kuhukumu ni ya Mungu pekee .yeye ni askofu sawa na kilaini tofauti yao ni kwamba yeye ni kadinali na askofu mkuu wa jimbo la dar es salaam ila kilaini ni askofu msaidizi wa jimbo la bukoba .hivyo kilaini mwenyewe anapaswa kujipima mbele ya Mungu na kanisa Kama anastaili kufanya hayo
 

Sahamani mkuu,
nilikuwa nafahamu kuwa mtu hushitakiwa na jamuhuri akijihusisha na murder case, terrorism, treason.... kumbe hadi kutoa lugha ya matusi.

Kwa nini Pengo alifungua jalada polisi badala ya Jamhuri kufanya hivyo yenyewe?

I would like to know plse!
 
Dhambi ya matusi itamtesa sana Gwajima.

mkuu mwadhama hajaita matusi wala kusema chochote wewe unapata wap mamlaka ya kusema ni matusi?.mbele ya Mungu na kanisa yote ni heri sifa na utukufu kwa bwana ndo maana mwadhama kasema amesaheme
 


Ndugu Pasco

the way nimjuavyo Pengo binafsi hata asingesema hayo hadharani alimpuuza siku hiyo hiyo...


MTU Kama pengo kwa shutuma za Gwajima he is too old for that ndo maana baada ya kuona govt imet take advantage kwenye hilo jambo kaamua kusema wazi na kwa namna nyingine ni Kama amewaruka viherehere wote wanaohangaika na Gwajima.

Serikali ni bora iachane na propaganda hizi za kijinga kuepusha migogoro isiyo na tija.
 
Last edited by a moderator:

Namchukia sana Gwajima.Ila ni kweli kuwa mkuu wa Kanisa nchini sio kardinali bali ma-askofu wote wana hadhi sawa.Na anayeonekana kuwa mkuu wao ni rais wa TEC, cheo ambacho ni cha kupokezana.Kardinalı tunaweza kumtafsıri km mwakilishi wa kanisa la Tz kwenye kusanyiko la maaskofu wa Vatican.
 
Yani na wewe kabisa unaenda kwenye ibada ambayo pengo anaiongozwa baada ya kuwasaliti maaskofu?

mkuu kwani usaliti wake unahusiana vip na meneno yanatoka kwa Mungu kupitia kwa baba askofu?
 
Mimi Mkatoliki na mseminary lakini namwelewa zaidi Gwajima kuliko Pengo . Pengo alitakiwa kuomba Wakatoliki wa Tanzania msamaha kwa ushirika wake na CCM kabla ya kusema amesamehe Gwajima .

TISS at work.Wamefanikiwa kuwavuruga wananchi.CCM wanadai wanaotetea matusi ya Gwajima ni wana UKAWA.Wana UKAWA kuna wakatoliki wameumizwa na matusi dhidi ya kiongozi wao wa kiroho.Wana UKAWA walio Wakatoliki sasa wanaanza kujitenga.Mivurugano km hii itaendelea.
 
Blue: They were against the rejection of some of the matters in the proposed constitution.
 
 

Askofu wa mtaani mwenye akili kuliko Mapengo askofu wa darasani aliyejaa usaliti kama yuda.
 
Kakusaliti wapi? Nyoosha maelezo yako mkuu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…