Pengo: Nchi imeoza!

Pengo: Nchi imeoza!

Sasa hivi Pengo kawa Mwanya kaufyata kama yanayoendelea hayaoni..Warumi ni wanafiki kweli
 
Najua term inayokuja itakuwa ya muislam,sasa nije nione viongizi wa kikristo wakileta unafiki wao wa nyaraka ....kitanuka na nitaslimu kwa Mara ya kwanza kuliamsha dude...
 
Wananchi acheni kiherehere buana,tulishaenda magogoni tukanywa juice,tukaongea mambo yetu,mipango ikapangika,sasa tabu iko wapi?,ujanja kuwahi
 
Kulingana na gazeti la Majira la leo ASKOFU wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo ameibuka tena na kutangaza mapambano mapya dhidi ya mafisadi huku akidai nchi imeoza na kamwe kanisa halitakaa kimya na kulea hali hiyo.

  • Asema kamwe kanisa halitakubali kunyamaza.
  • Asema watapambana na ufisadi hadi mwisho.
  • Aapa kupambana na yeyote anayetetea uovu.
  • Asema Katoliki haliandai mgombea Urais mwaka 2010.
  • Adai anayeogopa waraka wa Kanisa ni Fisadi.
Baada ya Mkatoliki kutwaa madaraka kaufyata !
 
Hii nchi kweli IMEOZA wala siyo siri. Taasisi zote muhimu ni UOZO MTUPU with exception of CAG’s office. Kuanzia Ikulu na kwingine kote.

Kulingana na gazeti la Majira la leo ASKOFU wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo ameibuka tena na kutangaza mapambano mapya dhidi ya mafisadi huku akidai nchi imeoza na kamwe kanisa halitakaa kimya na kulea hali hiyo.

  • Asema kamwe kanisa halitakubali kunyamaza.
  • Asema watapambana na ufisadi hadi mwisho.
  • Aapa kupambana na yeyote anayetetea uovu.
  • Asema Katoliki haliandai mgombea Urais mwaka 2010.
  • Adai anayeogopa waraka wa Kanisa ni Fisadi.
 
Back
Top Bottom