Unafiki ukitamalaki hata ukweli hauonekani. Nikimfikiria nashindwa kuelewa kwa nini alikuwa anatoa waraka wa kuiponda serikali ya JK?Pengo vipi hajatoa waraka bado?
Hili kaburi limefukuliwa na tumekutana na unafiki wa kiwango cha lami kwa ndugu zetu WAROMAMmmh hili kaburi nani amefukua?
Jf bwana
Huyu mzee watu hawamuamini tena , siku hizi kaamua kukitumikia chama chake waziwazi .Kulingana na gazeti la Majira la leo ASKOFU wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo ameibuka tena na kutangaza mapambano mapya dhidi ya mafisadi huku akidai nchi imeoza na kamwe kanisa halitakaa kimya na kulea hali hiyo.
- Asema kamwe kanisa halitakubali kunyamaza.
- Asema watapambana na ufisadi hadi mwisho.
- Aapa kupambana na yeyote anayetetea uovu.
- Asema Katoliki haliandai mgombea Urais mwaka 2010.
- Adai anayeogopa waraka wa Kanisa ni Fisadi.
Pengo aliyatamka hayo wakati akiupinga utawala wa wakati huo ambao Rais alikuwa HATOKANI na Kanisa hilo.Kulingana na gazeti la Majira la leo ASKOFU wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo ameibuka tena na kutangaza mapambano mapya dhidi ya mafisadi huku akidai nchi imeoza na kamwe kanisa halitakaa kimya na kulea hali hiyo.
- Asema kamwe kanisa halitakubali kunyamaza.
- Asema watapambana na ufisadi hadi mwisho.
- Aapa kupambana na yeyote anayetetea uovu.
- Asema Katoliki haliandai mgombea Urais mwaka 2010.
- Adai anayeogopa waraka wa Kanisa ni Fisadi.
METHODIUS KILAINI, jimbo kuu Bukoba........... hakuna kitu kibaya kama UNAFIKI,eti una penis inasimama na maisha yako yote hausex, hata biology inakataa........ huo tu ni unafiki tosha wa kwanza wa kukana asili yakoHivi yule askofu aliyepokea mamilion ya iptl kupita mkombozi bank alimchukulia hatua gani?
Kulingana na gazeti la Majira la leo ASKOFU wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo ameibuka tena na kutangaza mapambano mapya dhidi ya mafisadi huku akidai nchi imeoza na kamwe kanisa halitakaa kimya na kulea hali hiyo.
- Asema kamwe kanisa halitakubali kunyamaza.
- Asema watapambana na ufisadi hadi mwisho.
- Aapa kupambana na yeyote anayetetea uovu.
- Asema Katoliki haliandai mgombea Urais mwaka 2010.
- Adai anayeogopa waraka wa Kanisa ni Fisadi.