OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Wana JF hebu tuchangie hapa kuna yoyote anayeona kukosekana kwa Dr.Slaa bungeni kuna pengo linaloonekana katika kuchangia na kupitisha hoja mbali mbali bungeni?? na je ingekuwaje angekuwepo bungeni kipindi hiki cha kashkash la muswada wa katiba mpya akaunganisha nguvu pamoja na makamanda wengine kama Lissu, Mnyika, Mdee, Lucy, Mbowe na wengine????