Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
Baada ya uchaguzi mkuu wa kugombea uraisi uliofanyika tarehe31 oktoba.Serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania,kupitia taasisi,idara na mashirika mbalimbali ya umma ilitumia shilingi 175,639,750/= kwa ajili ya kutoa salamu 217 za pongezi zilizochapishwa katika vyombo mbalimbali vya habari kama magazeti, kuanzia tarehe 8 novemba hadi tarehe 8 desemba 2010.