johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,023
- 142,069
Hayawahusu wapinzani, nchi hii inawenyewe na wenyewe ni CCM.Hili ni pendekezo tu.
Kwamba KUB awe anaalikwa katika matukio muhimu ya kiserikali ili akiisha kuelewa yeye aende akawaelimishe na wafuasi wa kambi yake.
Kwa aina ya wapinzani tulionao vichwa vyao ni rahisi kuelewa wanapoelezwa jambo " lile lile" na viongozi wao kuliko kusikiliza mubashara.
KUB Mbowe ni kiongozi anayeelewa tofauti na yule Zitto wa Kigoma.
Maendeleo hayana vyama!
Bwashee hata hilo la Samatta ni utekelezaji wa ilani ya CCM!Mzee mgaya naona mmesubiri muone wapinzani wakipongeza lile igizo la jana lakini watu hawastuki, mmebaki MATAGA wenyewe mkisema ni tukio la kihistoria. Naona kwa hasira MATAGA wenzako wameanzisha nyuzi wakilaumu vyombo vya habari vya kimataifa kama BBC, DW nk eti kwanini hawatangazi hilo tukio kubwa? Yaani tukio kubwa la kusaka kiki za kisiasa za ccm ndio tukio kubwa kwa kila mtu?
Huo mkataba ingekuwa habari kubwa kama huo mkataba ungekuwa wazi na sio kuwa siri kama ili tuliyopigia kelele. Kifupi jambo pekee jipya kwa jana ni sanaa ya usainiji wa ule mkataba ambao ilikuwa mbele ya TV, na wala siyo uwazi wa kilichopo ndani ya mkataba. Sasa hapo kuna jambo gani jipya na kubwa ambalo KUB ataenda kuwaeleza wenzake? Jambo pekee kubwa ndani ya nchi la wiki iliyopita ni Sammata kusajiliwa na Aston Villa fullstop.
Uliwahi kuona mkataba gani unawekwa gazetini hapa duniani bwashee?Shida yoye ya nini, si mkataba uwekwe wazi kwenye gazeti la serikali kila mtu ausome aelimike. Mnaficha nini? Yaani hadi tuende kuchungilia ripoti za acacia huko ndio tuone baadhi ya vipengele vinavyo onesha jinsi ccm ilivyoinamishwa na beberu.
Endelea kusubiri itakuja!Tunahitaji tumehuru ova
Bwashee hata hilo la Samatta ni utekelezaji wa ilani ya CCM!
Ha haha! Yaani beberu (Barrick) kampiga goli mbuzi wetu wa shughuli (ccm) bila hiana?Shida yoye ya nini, si mkataba uwekwe wazi kwenye gazeti la serikali kila mtu ausome aelimike. Mnaficha nini? Yaani hadi tuende kuchungilia ripoti za acacia huko ndio tuone baadhi ya vipengele vinavyo onesha jinsi ccm ilivyoinamishwa na beberu.
Bwashee bendera ya CCM imepandishwa pale Mbagala nyumbani kwa mzee Samatta!Ni kweli kabisa mzee Mgaya, tena ili inoge vizuri inabidi kwenye nyumba yake huko UK mkatundike bendera ya ccm juu ya paa lake. Na atumiwe nakala ya ilani ya ccm awe anatembea nayo kama Kange Lugola.
Bwashee bendera ya CCM imepandishwa pale Mbagala nyumbani kwa mzee Samatta!
Shida yoye ya nini, si mkataba uwekwe wazi kwenye gazeti la serikali kila mtu ausome aelimike. Mnaficha nini? Yaani hadi tuende kuchungilia ripoti za acacia huko ndio tuone baadhi ya vipengele vinavyo onesha jinsi ccm ilivyoinamishwa na beberu.
Hawa Ufipa ni bure kabisa!Tuonyeshe mkataba ambao umewahi kuwekwa Gazetini ama kweli nchi hii vilaza wako eh Mungu w
Sent from my iPhone using JamiiForums
Uliwahi kuona mkataba gani unawekwa gazetini hapa duniani bwashee?
Bwashee unaelewa maana ya economic profits?!Hata kama ingekuwa inawekwa huo usingewekwa maana ni aibu, umewahi kuona wapi shares 16% kwa 84% kisha mgawane 50/50!?
Mie nashauri Mwenyekiti wa TLP awe anahudhuriaHili ni pendekezo tu.
Kwamba KUB awe anaalikwa katika matukio muhimu ya kiserikali ili akiisha kuelewa yeye aende akawaelimishe na wafuasi wa kambi yake.
Kwa aina ya wapinzani tulionao vichwa vyao ni rahisi kuelewa wanapoelezwa jambo " lile lile" na viongozi wao kuliko kusikiliza mubashara.
KUB Mbowe ni kiongozi anayeelewa tofauti na yule Zitto wa Kigoma.
Maendeleo hayana vyama!
Mbona huwa anakuwepo!